Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
Ulivyopost ile picha nikajua umeichukulia chumbani kwa makaveli10 mana nadhani itakuwepo kwenye album ya familia yao... Utakua umenielewa sasaUsukani!!!??? ! Sijaelewa elewa..
Umekosa pa kufungulia lock???Imekaa kitako
![]()
![]()
![]()
![]()
Nilikuwa napita na Range Rover yangu Papaa naelekea TsabatsaKulikoni tena papaa ama ndo umeanza biashara ya mitumba hapo?
Kwani wajawazito wanaruhusiwa???Tatizo hao wazuri akina swetiepie hawaendi kugombea

Weka pichaNilikuwa napita na Range Rover yangu Papaa naelekea Tsabatsa
Weka picha..Nilikuwa napita na Range Rover yangu Papaa naelekea Tsabatsa
Hahaha... Nimekuelewa lakini sijaitoa huko.. Alinipatia sweetipaiUlivyopost ile picha nikajua umeichukulia chumbani kwa makaveli10 mana nadhani itakuwepo kwenye album ya familia yao... Utakua umenielewa sasa
Kwanini kamanda??Umekosa pa kufungulia lock???
Najiuliza kamanda kama umekosa pa kufungulia lock tutafutane ..Kwanini kamanda??
Mwenye kujua aniambieNenda Ofisi ya Serikali ya Mtaa ukaulizie ndo wanajua
.......
Lock gani kamandaNajiuliza kamanda kama umekosa pa kufungulia lock tutafutane ..
Acha ubishiMwenye kujua aniambie
samahani mkuu, nimekuelewaAcha ubishi
Mi mwenyewe Serikali ya Mtaa wamewahi kunielekeza ofisi ya mbunge jimbo la Ubungo
Hao ndo wanaoelewa
Basi nenda kaanzishe thread
.....