Makapuku Forum

Mkuu ibra87 nimepitia comment mbili tatu, mfano ipo inayodai kuwa no likes, no reply, sasa mkubwa hivi vitu navyo Ni vya ku-complain? Au nini msingi wa malalamiko pengine sijaelewa maudhui. Nifahamishe mkuu.
mkuu katika watu ambao sina shaka na Comment, Likes na Reply ni mimi.. Kwa kuwa thread ninazoandikaga huwa napata ushirikiano kwa baadhi Ya watu tena kwa kiwango cha juu.

Tunachozungumzia na Kulalamikia Hapa ni Dharau zinazoletwa na Wakongwe (Hasa MMU na hapa) wengi wanaongoza kwa kuandika mabandiko yasio na viwango na hata mnapojaribu kubishana kwa hoja Utasikia "WEWE UMEJIUNGA JUZI HAPA JF, UTANIAMBIA NINI" Ni ipi tofauti kati ya wakongwe na wageni?
 
Kuhusu Hiyo thread ya matabaka kuna maneno ya dharau na kejeli mnooo kuhusu kapuku.

Tunatukana kwamba ni wanuka mkojo

Hatuna kazi ya kufanya.

Tunakesha humu....

Na maneno mengi ya kejeli.


Ninachoweza kusema ni kwambafungua Uzi ile ni id fake. Yule ni mkongwe. Tena ni maarufu.


Hamna haja ya kwenda kujibishana. Ni kuwapa promo....


Kapuku let's stay focused. Our agenda was not to isolate but to find unit and solidarity

Dhana nzima ya kapuku forum sio kujitenga ila kuwa pamoja na kupeana support.

Hamna mkomgwe aliye dharauliwa. Ila wakongwe lazima wawaheshim vijana wapya...and vice versa.


One love kapuku......

Kwa vile post zetu zilikuwa hazithaminiwi...

Ni wakati sasa Wa kuzipa support post au koments
Za kapuku na wakongwe pia.....


Naamini kapuku forum haipo kwa ajili ya isolation but its for unifying the lower....

Cc Bitoz
Th Name
Jimena
ibra87
damtanzania
youngblood
amaizing
cute b
mshana jr
EMMYGUY
peterchoka
Lizzy
@sizzy007
Linamo
manuu


Na kapuku wenginee woote.....
Utoto uliotukuka.
 
Naomba nitoe rai!!
Kama katibu kiongozi wa vuguvugu hili nawataka wenzangu wote ambao tumepambana toka mwanzo kuendeleza msimamo wetu, kama matabaka yalianzishwa na wao, sie tunaitikia kiitikio tu.

Naomba, kapuku yoyote anayejijua kuwa yeye ni kapuku na yuko proud kuupuuzia huo uzi.

Na niseme tu kuwa hatutoona shida kumdinounce mmoja au wawili watakaotaka kupasuka na uzi huo.

Makapuku tulinyanyaswa
Makapuku tulisengenywa
Makapuku tulitukanwa
Tulifanyiwa kila aina ya upuuzi.

The end justfy the means, matokeo ya vuguvugu hili ni udhihilisho wa njia zisizo sahihi zilizotumiwa na wakongwe katika kuwatreat members wapya.

Katibu kiongozi wa makapuku
Sizzya007
Mawazo mgando ambayo mara nyingi huwa nayo akina dada
 
Kuhusu Hiyo thread ya matabaka kuna maneno ya dharau na kejeli mnooo kuhusu kapuku.

Tunatukana kwamba ni wanuka mkojo

Hatuna kazi ya kufanya.

Tunakesha humu....

Na maneno mengi ya kejeli.


Ninachoweza kusema ni kwambafungua Uzi ile ni id fake. Yule ni mkongwe. Tena ni maarufu.


Hamna haja ya kwenda kujibishana. Ni kuwapa promo....


Kapuku let's stay focused. Our agenda was not to isolate but to find unit and solidarity

Dhana nzima ya kapuku forum sio kujitenga ila kuwa pamoja na kupeana support.

Hamna mkomgwe aliye dharauliwa. Ila wakongwe lazima wawaheshim vijana wapya...and vice versa.


One love kapuku......

Kwa vile post zetu zilikuwa hazithaminiwi...

Ni wakati sasa Wa kuzipa support post au koments
Za kapuku na wakongwe pia.....


Naamini kapuku forum haipo kwa ajili ya isolation but its for unifying the lower....

Cc Bitoz
Th Name
Jimena
ibra87
damtanzania
youngblood
amaizing
cute b
mshana jr
EMMYGUY
peterchoka
Lizzy
@sizzy007
Linamo
manuu


Na kapuku wenginee woote.....
kama unajua haki yako ipo wewe unachotakiwa ni kupambana hadi uipate ... usiangalie nyuma kama una uwezo kabiliana pale unapoweza kwa maslahi ya walioko nyuma yako ......
Kuhusu Hiyo thread ya matabaka kuna maneno ya dharau na kejeli mnooo kuhusu kapuku.

Tunatukana kwamba ni wanuka mkojo

Hatuna kazi ya kufanya.

Tunakesha humu....

Na maneno mengi ya kejeli.


Ninachoweza kusema ni kwambafungua Uzi ile ni id fake. Yule ni mkongwe. Tena ni maarufu.


Hamna haja ya kwenda kujibishana. Ni kuwapa promo....


Kapuku let's stay focused. Our agenda was not to isolate but to find unit and solidarity

Dhana nzima ya kapuku forum sio kujitenga ila kuwa pamoja na kupeana support.

Hamna mkomgwe aliye dharauliwa. Ila wakongwe lazima wawaheshim vijana wapya...and vice versa.


One love kapuku......

Kwa vile post zetu zilikuwa hazithaminiwi...

Ni wakati sasa Wa kuzipa support post au koments
Za kapuku na wakongwe pia.....


Naamini kapuku forum haipo kwa ajili ya isolation but its for unifying the lower....

Cc Bitoz
Th Name
Jimena
ibra87
damtanzania
youngblood
amaizing
cute b
mshana jr
EMMYGUY
peterchoka
Lizzy
@sizzy007
Linamo
manuu


Na kapuku wenginee woote.....
Haki haiombwi bali inatafutwa . ... daima fanya kile unachokiona kipo sahihi kwa maslahi yawaliopo nyuma yako ..
 
Kweli kabisa. Kuna huyu dogo anajiita Bitoz ...... huyu nasikia kanichukulia vimwana vyangu viwili sababu ya ubitoz wake. Naongea na Max ampige permanent ban ili liwe funisho kwa vijana wenzie walafi wa Kei.
Huyo ni mnuka mkojo wala asikuumize kichwa.
 
Kuhusu Hiyo thread ya matabaka kuna maneno ya dharau na kejeli mnooo kuhusu kapuku.

Tunatukana kwamba ni wanuka mkojo

Hatuna kazi ya kufanya.

Tunakesha humu....

Na maneno mengi ya kejeli.


Ninachoweza kusema ni kwambafungua Uzi ile ni id fake. Yule ni mkongwe. Tena ni maarufu.


Hamna haja ya kwenda kujibishana. Ni kuwapa promo....


Kapuku let's stay focused. Our agenda was not to isolate but to find unit and solidarity

Dhana nzima ya kapuku forum sio kujitenga ila kuwa pamoja na kupeana support.

Hamna mkomgwe aliye dharauliwa. Ila wakongwe lazima wawaheshim vijana wapya...and vice versa.


One love kapuku......

Kwa vile post zetu zilikuwa hazithaminiwi...

Ni wakati sasa Wa kuzipa support post au koments
Za kapuku na wakongwe pia.....


Naamini kapuku forum haipo kwa ajili ya isolation but its for unifying the lower....

Cc Bitoz
Th Name
Jimena
ibra87
damtanzania
youngblood
amaizing
cute b
mshana jr
EMMYGUY
peterchoka
Lizzy
@sizzy007
Linamo
manuu


Na kapuku wenginee woote.....
Pamoja sana mkuu sumbai.
 
53ab01dfecafbc63929dba2118accaaf.jpg
5eb9d24e6ccd4c0bdff6ccf2ce4d3259.jpg

Yanga juu
Mkia daima hukaa nyuma

.........................
 
Kuhusu Hiyo thread ya matabaka kuna maneno ya dharau na kejeli mnooo kuhusu kapuku.

Tunatukana kwamba ni wanuka mkojo

Hatuna kazi ya kufanya.

Tunakesha humu....

Na maneno mengi ya kejeli.


Ninachoweza kusema ni kwambafungua Uzi ile ni id fake. Yule ni mkongwe. Tena ni maarufu.


Hamna haja ya kwenda kujibishana. Ni kuwapa promo....


Kapuku let's stay focused. Our agenda was not to isolate but to find unit and solidarity

Dhana nzima ya kapuku forum sio kujitenga ila kuwa pamoja na kupeana support.

Hamna mkomgwe aliye dharauliwa. Ila wakongwe lazima wawaheshim vijana wapya...and vice versa.


One love kapuku......

Kwa vile post zetu zilikuwa hazithaminiwi...

Ni wakati sasa Wa kuzipa support post au koments
Za kapuku na wakongwe pia.....


Naamini kapuku forum haipo kwa ajili ya isolation but its for unifying the lower....

Cc Bitoz
Th Name
Jimena
ibra87
damtanzania
youngblood
amaizing
cute b
mshana jr
EMMYGUY
peterchoka
Lizzy
@sizzy007
Linamo
manuu


Na kapuku wenginee woote.....
Tuko pamoja sana na unadhani kuna kitu wanajua basi..Ni umuch know tu usio na maana..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom