Makapuku Forum

Pole Sana Mkuu, Hao Makupuku Wengi Wao Ni Wanuka Mkojo ( Watoto )
 
Mkuu umeona wapi mlinzi wa getini akawa busy?
Hilo suala la kufanya kazi ni la mtu binafsi, si kila mkulima anashika jembe analima!, wengine wanatumia pesa zao kulimisha wengine.

Sikiza mimi silimi wala sishiki jembe na nina watu kibao nime delegate kwao ila sina muda wa kukaa humu 24/7 in most cases just chatting nd making unproductive stories. Ndio kuna muda wa ku refresh na ku socialise ila kuna wadau humu nime wa trace kwa karibu ni balaa.

Thats insane man.
 
Aisee wale jamaa wanaongea shudu kinoma
Mimi TAMKO LANGU NI KWAMBA MSIWAJIBU NDO WATAUMIA
Wanataka kupunguza spidi ya huu Uzi
........
haha hadi wewe mkuu ...

Sawa mkuu,nilikuwa nimeanza kujibu mapigo lakini nimeona tukaushe tu kwasababu tukianza kujibizanaa tutawapa nguvu.

Wengi huwa wana ID mbili mbili humu, wakipigwa BAN huwa wanafukua hizi ID zao.

Mara nyingi huwa wanajisahau kwenye kukoment wanakocoment kama wako na ID zao za zamani, ukiwastukia wanafuta comment fasta
 
haha hadi wewe mkuu ...
Hata mimi nilisota sana humu, kama miaka miwili hivi ya mwanzoni, nilikuwa kapuku kweli kweli, naweza kuanzisha sredi ya maana isichangiwe kabisa.
Akiikopi mwenzio akaipost vile vile watu wanachangia kibao.

Kilichoniokoa nilikuwa nashinda sana jukwaa la ujasiriamali enzi hizo, hali ilikuja kugeuka polepole sana mkuu.

Ila wakongwe wa kuanzia miaka ya 2006 mpaka 2010, wengi wabaguzi sana.
 
Mkuu huu Uzi wako umefanya nitafute hiyo thread ya makapuku forum!
Huwa naona hiyo thread lakini sikuwahi kuifungua, jukwaa ilipo huwa sitembelei Mara kwa Mara. Ule Uzi naona Kama Ni malalamiko fln, kwa nini malalamishi?
 
Kila kitu kina mwanzo na mwisho.
 
Kuna wanao kesha yani kutwa nzima wako jamii forums 24/7. Ivi kazi au shughuli zao wanafanyaga saa ngap ??

Cz binafsi si kila wakati nipo humu unless ni notification ya kitu muhimu nafatilia. Si hukumu mtu though.
mkuu kuna bloggers pia kazi yao ni kushinda kwenye mitandao kutafuta habari na kuhabarisha jamii .. hivyo kama wewe ni mkulima utashangaa ni kwa nini kuna watu wapo humu 24/7
 
hata wewe ni mnuka mkojo kwa kuwa unachoandika kwa Id's Zako Zote ni Upuuzi. Mnaandika Ujinga Harafu mnabebwa na Mods kisha mnajiita Wakongwe? Hakuna maana ya kuifikisha mbali jf ikiwa kuna wajinga kama wewe msiotambua Umuhimu wa Jf
Nyie Ndio Mnaopelekwa Mahakamani Kwa Makosa Ya Mtandao, Mimi Nina ID Moja Tu Ambayo Ni Hii
 
Wengi wetu tumekumbana nayo hii hali
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…