Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wakuu kuna uzi umeanzishwa huko kwa wakongwe unahusu matabaka between MAKAPUKU na WAKONGWE.
d2d320c0cf763629fd2ef99e87dc9345.jpg

Waache wajambe
Cc tufanye yetu
Me ctacomment ht NUKTA
........................
 
Wageni wamekuja na lugha za matusi ambazo hazivumiliki! Mtu anadiriki kutukana wazazi wa mwenzake kana kwamba hao wazazi wanachangia mada kwenye JF! ( Mimi yamenikuta kutukaniwa wazazi wangu ambao wapo mbele ya haki! Iliniuma sana!) Suluhisho, Bw. Mello aanzishe forum nyingine kwa hawa Makapuku na wale wa zamani warudishiwe Jambo Forums yao!
 
hoja zao ni zipi kwa nini wanabaguliwa,nani kawabagua kwa maslahi yapi ?hii forum huru sidhani kama kuna mtu anaweza kumbagua mtu humu ndani. mbona ngumu sana wewe utambagua mtu usiemjua??????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom