Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aisee nilimruka kwenye leo ktk historia.

Sijamtendea haki, gwiji huyu wa soka wa Man Utd na timu ya taifa ya England.

Heri ya siku ya kuzaliwa kwa Sir Robert " Bobby " Charlton, Mshindi wa kombe la dunia lililofanyika mwaka 1966 katika ardhi ya nyumbani kwao palepale Uingereza.
Screenshot_2016-10-11-20-23-02.png
IMG_20161011_202448.jpeg
IMG_20161011_202437.jpeg

Kweli aisee
Ni gwiji ndio maana anaitwa SIR pia alitamba Man Utd na yupo Top scorers of all the time
.............
 
Mmoja kati ya watu wawili tu katika historia ya Nchi hii kushika wadhifa wa Uwaziri Mkuu kwa vipindi viwili tofauti.

Anatajwa tajwa sana na kuhusika katika kifo cha Edward Sokoine japo hakuna uthibitisho.

Pia mtoto wake wa kumzaa ambaye webgi hawajui kama ni mwanae kwa majina anayotumia Mh. Mathayo David Mathayo alishawahi kushika madaraka ya uwaziri katika Serikali ya awamu ya Nne ya Jakaya Kikwete.
Hapendi kutumia jina la Msuya kuwazuga watu,na watu wengi hawajui
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Watoto wa vivogo na majina feki....

Mimi nimebahatika kusoma pamoja na binti/mjukuu wake alikuwa anatumia jina halisi la NSUYA alikuwa ana mbwembwe anaendesha mkoko wao wa kishuana kuja nao Lushoto kutoka Dar halafu Semesta nzima anatambia hostel
Nilimvizia sana ni mrembo lakini andunje ana dimpoz + chura
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.........
 
Watoto wa vivogo na majina feki....

Mimi nimebahatika kusoma pamoja na binti/mjukuu wake alikuwa anatumia jina halisi la NSUYA alikuwa ana mbwembwe anaendesha mkoko wao wa kishuana kuja nao Lushoto kutoka Dar halafu Semesta nzima anatambia hostel
Nilimvizia sana ni mrembo lakini andunje ana dimpoz
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.........
Naona hapo ulitumia huu msemo baada ya kumkosa
1476208716944.jpg
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Hapana mkuu nilimwimbishaga kibishi tena kipindi hicho nikiwa na simu za kichina zile ambazo ukitouch kioo unatumia nguvu utafikiri unabonyeza halafu yeye alikuwa na Samsung ya ukweli kubwa lakini alinipa # na presentation tulikuwaga tunawekwa group 1
Sisi masela wa Uswaz wabishi
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
..............
Mkuu nimekula sana mabinti wa hao ndugu nusu niwe mario ila nishaacha huu ujinga.
 
Back
Top Bottom