Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU NO 1#

Ni vema kila taifa likafahamu, iwe ni taifa linalotutakia mema ama kinyume chake, kwamba tupo tayari kwa gharama yoyote

Kwa kubeba mzigo wowote, kwa kukabiliana na ugumu wowote, katika kuunga mkono au kupinga ili mradi tu kuhakikisha uhuru unatwaa nafasi yake popote


Maneno haya yalipata kutamkwa na aliyekuwa Rais wa Marekani, John Kennedy, January 20,1961

Kennedy alizaliwa Mei 29,1917 na kuuawawa November 22,1963
Screenshot_2016-10-11-18-04-31.png
IMG_20161011_180616.jpeg
IMG_20161011_180606.jpeg

President manuksi
.........
 
NUKUU NO 3#

Kuna viongozi wanafiki na wala milungura na viongozi hao ni shida sana kuwagundua, kwani wakijua kwamba karibu wanagunduliwa wanakimbia.

Maneno haya yalisemwa na Rais wa kwanza wa Tanzania Mwalimu Julius Nyerere,Jun 8,1969 wakati akifungua mkutano wa TANU
 
NUKUU NO 2#

Siasa mpya ya Bank ya Dunia ni kwamba maendeleo siyo tu majumba makubwa, viwanda vingi, magari mengi na fedha nyingi,
Bali ni umuhimu wa nchi kuona kuwa mali inagawanywa kwa haki na sawa kwa watu wote


Maneno haya yalipata kutamkwa na waziri wa fedha, David Msuya. October 2,1972 jijini Dar es salaam mara baada ya kurejea kutoka Uingereza na Marekani aliko hudhulia mikutano mbali mbali,
Msuya alizaliwa November 4,1931, amewahi kuwa waziri mkuu wa Tanzania
Screenshot_2016-10-11-18-12-10.png
Screenshot_2016-10-11-18-12-32.png
IMG_20161011_181247.jpeg
IMG_20161011_181257.jpeg
 
94d6d992c6f6a19b9f7454c6a2cc8dea.jpg

Happy birthday SIR BOBBY CHARLTON
79 YRS
......
Aisee nilimruka kwenye leo ktk historia.

Sijamtendea haki, gwiji huyu wa soka wa Man Utd na timu ya taifa ya England.

Heri ya siku ya kuzaliwa kwa Sir Robert " Bobby " Charlton, Mshindi wa kombe la dunia lililofanyika mwaka 1966 katika ardhi ya nyumbani kwao palepale Uingereza.
 
NUKUU NO 1#

Ni vema kila taifa likafahamu, iwe ni taifa linalotutakia mema ama kinyume chake, kwamba tupo tayari kwa gharama yoyote

Kwa kubeba mzigo wowote, kwa kukabiliana na ugumu wowote, katika kuunga mkono au kupinga ili mradi tu kuhakikisha uhuru unatwaa nafasi yake popote


Maneno haya yalipata kutamkwa na aliyekuwa Rais wa Marekani, John Kennedy, January 20,1961

Kennedy alizaliwa Mei 29,1917 na kuuawawa November 22,1963
JFK alikuwa na vision kubwa sana. Vizuri havidumu.
 
NUKUU NO 2#

Siasa mpya ya Bank ya Dunia ni kwamba maendeleo siyo tu majumba makubwa, viwanda vingi, magari mengi na fedha nyingi,
Bali ni umuhimu wa nchi kuona kuwa mali inagawanywa kwa haki na sawa kwa watu wote


Maneno haya yalipata kutamkwa na waziri wa fedha, David Msuya. October 2,1972 jijini Dar es salaam mara baada ya kurejea kutoka Uingereza na Marekani aliko hudhulia mikutano mbali mbali,
Msuya alizaliwa November 4,1931, amewahi kuwa waziri mkuu wa Tanzania
Mmoja kati ya watu wawili tu katika historia ya Nchi hii kushika wadhifa wa Uwaziri Mkuu kwa vipindi viwili tofauti.

Anatajwa tajwa sana na kuhusika katika kifo cha Edward Sokoine japo hakuna uthibitisho.

Pia mtoto wake wa kumzaa ambaye webgi hawajui kama ni mwanae kwa majina anayotumia Mh. Mathayo David Mathayo alishawahi kushika madaraka ya uwaziri katika Serikali ya awamu ya Nne ya Jakaya Kikwete.
 
Back
Top Bottom