sizzya007
JF-Expert Member
- Mar 15, 2016
- 773
- 2,422
Mkuu nafikiri mtafute @mshna jr akusaidie kusafisha nyota, hii si kawaida,kukataliwa huku vepeee.
Watoto wako insecure wanahisi hawatokua peke yao sijui.....😀😀
Mkuu nafikiri mtafute @mshna jr akusaidie kusafisha nyota, hii si kawaida,kukataliwa huku vepeee.
Hahahaha huo sasa sio msaadaJimena unataka kunipa msaada kwa njia hii😀
Mkuu mimi siyo mwanaume wa Darslum.we endelea kuzunguka hapo hapo hujui cku izi watt hawawapendi 'wavulan' wa dasilamu
Ngoja nimsaidie yuko nyang'anyang'a kwako na kwa wasichana wote humu ye hachagui anataka kila mmoja
Hamna kitu,inabidi uniPM nikupe maujanja.Watoto wako insecure wanahisi hawatokua peke yao sijui.....😀😀
Mmmmmmhh basi atakosa wote
Akiachiwa tu atakupigia, mtu mzima hapotei, kunywa glasi ya maji kisha urelaxSasa mbona unanitisha mkuu,wewe niambie nifanyeje!
Hapa nafikiria kwena polisi kuripoti.
Mpenzi kwa nini unatoa siri zako bila ruhusa yangu huyo anaetaka kujua hadi home aniulize mimi hapa kila kitu kinachokuhusu kipitie kwangu kwanza hii aisome pia HOPECOMFORTMoshi machame
mkuu umetumia kipimo gani kuyajua hayo yote?We nakujua njongoo hapandi mtungi.
mm ndo anko wake ebu jieleze vizuri kijanaNikikosa wote fine nikimkosa jimena i will die with my heart beating for her.
Atakuelewa tu japo anajifanya mgumuDaah!! Asante sana kwa kunifikishia ujumbe kwa jimena
Mpenzi hakika hii inazidi kunifanya niamini ulikuwa umepangwa kwa ajili yangu na mimi nilikuwa kwa ajili yako..Nakupenda pia my dear..
Na kwa ujumbe huo ndo umeambulia patupuuu.... Unaondoka kama ulivyokujaDaah!! Asante sana kwa kunifikishia ujumbe kwa jimena