shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Nimecheka sana aiseeHaha sijui hata nilifikaje sijawahi hata kuota kwenda huko
Nimecheka sana aiseeHaha sijui hata nilifikaje sijawahi hata kuota kwenda huko
Imeuwawa na mwendo kasi
Hilo ni maktaba na kabla hujafika getini ni wizara ya majiSio hapo....hapo ni km unatokea Ubungo unaelekea Mlimani City ndo lipo katikati ya. Chuo na Mlimani City
Jengo unalolisema nahisi ni lile linalojengwa kwenye kiwanja kidogo cha Moira sehemu kabla hujafika getini tena bado halijakamilika
........
Kama wa Africa??? Basi ni ugonjwa wa dunia!!!Shida ya wachezaji wa siku hizi wakiwa timu za taifa wanacheza kawaida sana. Sio kama wakiwa katika vilabu vyao.

Ndo lenyewe nduguKuna wizara ya maji na maktaba ya chuo kikuu jirani na ppf(super star)
SawasawaHilo ni maktaba na kabla hujafika getini ni wizara ya maji
Mabishoo wengu, uzalendo kidogo.Shida ya wachezaji wa siku hizi wakiwa timu za taifa wanacheza kawaida sana. Sio kama wakiwa katika vilabu vyao.
Unauliza mikofi polisi.. Nani mwingine zaid ya jimenaNani kaipata 100k![]()

Huko mtoto wa miaka miwili tu anapiga maji balaa.. Akizamia posta kaibukia zanzibar!!Nahisi wanakufa sana huko Fiji
Labda km wana maendeleo ya vyombo vya majini mfano boti za kisasa
.......
Mzee wa feki kaandika alipigwa risasi siku 1 baada ya kuapishwa
Sasa huo mkataba alisaini lini?
Naomba ufafanuzi hapo
![]()
![]()
![]()
![]()
..........
Hupendagi ujinga kabisa.
Cow hazeeki maini!
Hivi ushawah ku-fall in love?
yan ile love Bae akikupgia simu ukiskia sauti
yake tu unataman uile simu na uimeze..
yan mnashinda nae mchana kutwa ikifka usiku
unakopa ili umpigie..
ile love akikubusu unajishikilia ukutan
usizimie...
ushawah kujifeel namna hiyo?
kama umeshawah kuhisi hivyo hio sio 'LOVE'
ni BANGI acha kutumia utakuwa kichaa pambavu sana wee.........
Huwa sipendi ujinga Mimi
![]()
![]()
![]()
![]()

Swalama kabisa..Salama hapa wakuu