Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,232
- 68,262
Shida ya wachezaji wa siku hizi wakiwa timu za taifa wanacheza kawaida sana. Sio kama wakiwa katika vilabu vyao.Italy vs Spain bonge la game
Shida ya wachezaji wa siku hizi wakiwa timu za taifa wanacheza kawaida sana. Sio kama wakiwa katika vilabu vyao.Italy vs Spain bonge la game
Inabidi apuuzwe tu. Sema kuna members huko wanamuamini sana jamaa.https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/17932034
Mpuuzi sana huyu jamaa
Km vitu hajui bora asiandike
Unafikiri kapotosha wangapi?
Kupenda sifa samtaimu hushusha utu wa mtu
Sasa naanza kuamini kichwani yupo empty
Halafu nilikuPM
.........
Wana beach kali sana watu wengi tu kutoka bara la asia na hata ulaya wanaendaga kula bataHivi ni kuzuri?
Haha sijui hata nilifikaje sijawahi hata kuota kwenda hukoBriz aliendaje huko, tuanzie hapo kwanza
Hiyo Tonga iko wap?Kamepajana na nichi moja hivi inaitwa Tonga
Nayo pia ni ndogo hvyo hvyo kama Fiji
Ndio maana nilisema "nahisi"Haha sio nchi maskini kihivyo, boti zipo tena za kisasa tu sana za kuendea visiwa vingine vidogo vidogo vya jirani dizaini ya mbudya
Mtaalamu wa everythingInabidi apuuzwe tu. Sema kuna members huko wanamuamini sana jamaa.

Uko sahihi kabisaKutafuta
Pesa inapelekea watu tunafika sehemu ambazo hatukutarajia
hahahaha... Jamaa hajui nini anafanya.Mi nimesubsribe ili nimchore tu
Kila akipost nacheka kyakimya bila kumkosoa
....
Pale unaipasua bahari pacific umbali ambao boti kama za zenji haziendi japo inategemea unatokea wapiUsafiri sasa aliotumia
Hapo si ndio walikua wanajenga hostel na mkulu alisisitiza ujenzi uishe ndani ya miezi sita? Mara ya mwisho nlipaona kipindi wanachimba msingi
Sio hapo....hapo ni km unatokea Ubungo unaelekea Mlimani City ndo lipo katikati ya. Chuo na Mlimani CityHapo si ndio walikua wanajenga hostel na mkulu alisisitiza ujenzi uishe ndani ya miezi sita? Mara ya mwisho nlipaona kipindi wanachimba msingi
Isingekuwa ufisadi lingekuwa na 40flr
Kuna wizara ya maji na maktaba ya chuo kikuu jirani na ppf(super star)
Hiyo ni shida sanaShida ya wachezaji wa siku hizi wakiwa timu za taifa wanacheza kawaida sana. Sio kama wakiwa katika vilabu vyao.