Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,269
samahani kwa kuchelewa.
2.Jozef Stalin;aliwahi kuwa kiongozi wa umoja wa kisovieti kutoka ukraine,aliuwa watu 23 milioni.
![]()
3.Adolf Hitler;Alikuwa kiongozi wa Chama cha Nazi huko ujerumani,kiongozi wa jeshi na mmoja wa waanzilishi wa vita vya pili vya dunia,aliuwa watu wapatao milioni 17.
![]()
Nani huyo kakudanganya na atupe sababu za kusema uwongo!! Maana uwongo hauji bila sababuNkajua mimi! basi nimedanganywa![]()
Aiyaa... Polen, tanesco waduwanzi.. Tz ya viwanda ndotoni..samahani ndugu zangu,huku umeme hakuna chaji ileeeeeeeeeeeeeeee napotea

Swahiba wa bro mussolin5
Thubutu, labda sio TanzaniaAiyaa... Polen, tanesco waduwanzi.. Tz ya viwanda ndotoni..
Kwani hakuna huduma ya tafadhali nipunguzie umeme miende kwenye luku fasta nikuforwadie!!![]()
![]()
Sie wazima ndugu, niaje bro?Wazima wote humu!?
Salama chief, mambo ni vipi?Salama hapa wakuu
Wale mbona tumewazidi tu sana
Kabisa mkuu nikiangalia mitaa yao ktk video choka tuWale mbona tumewazidi tu sana
Ngoja makapuku tuchangishane uchukue power bank mkuu, hii ya kutomalizia top 10 kwa kisingizio cha chaji haikubalikisamahani ndugu zangu,huku umeme hakuna chaji ileeeeeeeeeeeeeeee napotea



Utaendelea keshosamahani ndugu zangu,huku umeme hakuna chaji ileeeeeeeeeeeeeeee napotea
Kuna siku nlikua naangalia documentary ya usain bolt youtube alionekana kwenye maeneo mengi tu tofauti tofauti...ni noma mkuu jamaica pamechoka mbayaKabisa mkuu nikiangalia mitaa yao ktk video choka tu
Nite..Utaendelea kesho
Siyo mbaya
Mi nalala
USIKU MWEMA
Kwa wote
*************