Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
Alitengeneza Urafiki na Waisrael, kumbuka kuhusu Camp David accords.
Kitu ambacho Wamisri wengi hawakuunga mkono.
Alitengeneza Urafiki na Waisrael, kumbuka kuhusu Camp David accords.
Pop mkuuNi kweli kabisa, niaje lakini mbaba?
2012 - Chadli Bendjedid anafariki Dunia.
Alikuwa ni Rais wa 3 wa Algeria.
2015 - Arpad Goncz anafariki Dunia.
Alikuwa ni Rais wa kwanza wa Hungary.
Haka ka-nchi kamejificha sana afu kako mbali balaa, kama ndo una safari ya kutoka fiji kwenda asia tu unakula masaa ya kutosha na kama ndo route ya moja kwa moja ulaya au marekani usiombe kabisa.. Kama una afya mgogoro unaweza ukafia njiani1987 - Nchi ya Fiji yawa Jamhuri.
Nakumbuka Camp David Accords uliwahi kuelezea kwamba ilifanyika White House mwenyeji alikuwa sijui Rais CarterAlitengeneza Urafiki na Waisrael, kumbuka kuhusu Camp David accords.
Kitu ambacho Wamisri wengi hawakuunga mkono.
Tena ni kisiwa hivyo full boti na mitumbwiHaka ka-nchi kamejificha sana afu kako mbali balaa, kama ndo una safari ya kutoka fiji kwenda asia tu unakula masaa ya kutosha na kama ndo route ya moja kwa moja ulaya au marekani usiombe kabisa.. Kama una afya mgogoro unaweza ukafia njiani
hatari sana mkuuHaka ka-nchi kamejificha sana afu kako mbali balaa, kama ndo una safari ya kutoka fiji kwenda asia tu unakula masaa ya kutosha na kama ndo route ya moja kwa moja ulaya au marekani usiombe kabisa.. Kama una afya mgogoro unaweza ukafia njiani
Tena ni kisiwa hivyo full boti na mitumbwi
Km hujui kuogelea lala tu
![]()
![]()
![]()
![]()
.......




hata mitumbwi inabidi uwe fundi sana ukitoka kidogo tu unaingia deep seayap mkuuNakumbuka Camp David Accords uliwahi kuelezea kwamba ilifanyika White House mwenyeji alikuwa sijui Rais Carter
.......
Mhh ni KitamboLeo katika Historia Orijino:
1903 - Mahakama Kuu ya Australia yaanza kazi rasmi.
Kuna nchi zimejificha sana1987 - Nchi ya Fiji yawa Jamhuri.
Morning kitabu
MoningiMoningi mtu yote
thank uMorning kitabu
Nani kaipata 100kLeo ni siku 30 tangu kf kuvunja rekodi ya post ya DHAHABU yaani 100k


Nahisi wanakufa sana huko Fijihata mitumbwi inabidi uwe fundi sana ukitoka kidogo tu unaingia deep sea
Walimuua kwa sababu aliwekeana na Israel mkataba wa kutopigana tena