Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Asante...inaonyesha ni matam eh? yana umbo kama mapeas
Asante...inaonyesha ni matam eh? yana umbo kama mapeas
swadakta,mi mwenyewe hadi saivi sijanywa chai,mara niingie Wikipedia,mara huku mara kule.Itakuwa poa
Mfano mm leo nipo hoi
Kuwawekea picha watu wawili mfululizo tena wenye post kumikumi sio kitu kidogo
Ukileta jioni pia itaongeza mvuto na kuwapa muda watu kuchangia mada sababu mara nyingi jioni hakuna vipindi
Nashukuru kwa kunielewa
............
Misshe huku Mungu anasaidia...labda huko kwenu tunasilizia!!Hatujambo....mishe zinaendaje jangala?
Asante Jimena Jimenes my Twin sister...Te veo en Casa.!View attachment 412348View attachment 412349View attachment 412350
Kwa hisani ya mke wa waziri na ATCL jina langu naitwa Jimena Jimenes
Ni matumaini yangu kuwa umeyafurahia yale magezeti niliyokukusanyia asubuhi yale
Tukutane tena kesho muda na wakati kama wa Leo
Byebye
Nzuri the book...umeamkaje leo? shusha nondo bhaasi mkubwaSweetiepie habari yako???
Ni kweli mkuu, jamaa alikuwa ni mwanazuoni aliyebobea sana, aliwahi kuwekwa Kizuizini kwa tuhuma za kushiriki mauaji ya Karume.Owkey, Naskia alikuwa kichwa sana kabla ya kutimka Bongo!!!
Huku kwetu kwema kabisaaaMisshe huku Mungu anasaidia...labda huko kwenu tunasilizia!!
Jioni/usiku ndo mpangoswadakta,mi mwenyewe hadi saivi sijanywa chai,mara niingie Wikipedia,mara huku mara kule.
tayari rudi nyuma uangalieNzuri the book...umeamkaje leo? shusha nondo bhaasi mkubwa
Asante...upo Dom eeh!? maana ndio katikati ya nchi
okay kumbeeeJioni/usiku ndo mpango
Zamani kulikuwa na mzee wa Top TEN
unaonekana wazi una dalili za kuziba pengo lake ...yy alikuwa analetaga kuanzia SAA 2 USIKU
..............
ndioAsante...upo Dom eeh!? maana ndio katikati ya nchi
Uwiiii asinikumbushe mbali mimi na kukalia bunsen burner kwenye daladala...5.Robert Bunsen;Mkemia kutoka Ujerumani,Mgunduzi wa "Bunsen Burner".
![]()

Ok..nipo hapa nasaka tonge huku nikiburudika na jf.Huku kwetu kwema kabisaaa
Tunaanzaje kutoboa labda kwa mfano?Bongo tunatembelea nyota za watu, ndio maana hatutoboi
Asante kitabu
Wa OlomhoHao ma-hostess hatari sana utadhani wa ndege, japo hiyo treni yenyewe sio express kama zile metro lakini ndo wameshatupiga gap.. Big up kwao