MorningGood morning family...!!!!!!!
Ahsante kwa mazageti JJView attachment 412348View attachment 412349View attachment 412350
Kwa hisani ya mke wa waziri na ATCL jina langu naitwa Jimena Jimenes
Ni matumaini yangu kuwa umeyafurahia yale magezeti niliyokukusanyia asubuhi yale
Tukutane tena kesho muda na wakati kama wa Leo
Byebye
Magazeti ya home hayo
Nishapata data kamili km unavyoona hapo juuMagazeti ya home hayo
Yazowee tu
au mwandishi ni profesa
Karibu sana mutu ya CongoAhsante kwa mazageti JJ
Morning mukongoMorning
amenKawaida STROKE mtu haponi bali huwezi kukituliza tu ni miongoni mwa magonjwa hatari humfanya mtu apooze na kibaya zaidi ikiathiri ubongo unapoteza kumbukumbu na kuwa chizi(akili zinapotea)
NI ugonjwa unaotesa sana duniani na chanzo cha vifo vingi
Kwahiyo kiukweli Song kupata janga baya na huu unaweza kuwa mwisho wake
Tumuombee
.................