Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,424
wahudumu jaaaamaniEthiopia yazindua Treni za umeme za kwanza kabisa Africa
![]()
wahudumu jaaaamaniEthiopia yazindua Treni za umeme za kwanza kabisa Africa
![]()
Huyu jamaa alinipa kilema kwa kweli mana nlikuaga kama nimerogwa na hayo makitu4.Ralph H. Baer(The Father of Video Games);mgunduzi wa "VIDEO GAME CONSOLE" 1966.
![]()
mimi hadi saivi nipo nayo hapa kidole kimevimbaHuyu jamaa alinipa kilema kwa kweli mana nlikuaga kama nimerogwa na hayo makitu
Nani huyu Musso?
Leo Katika Historia Orijino:
Kwa udhamini mnono wa Members wote wa Makapuku Forum, tukutane kesho.

Hao ma-hostess hatari sana utadhani wa ndege, japo hiyo treni yenyewe sio express kama zile metro lakini ndo wameshatupiga gap.. Big up kwaoEthiopia yazindua Treni za umeme za kwanza kabisa Africa
![]()
![]()
Teacher Kidulani bonge la Geography teacher!!!.....alifanya nipende Geo.Leo ni siku ya Kimataifa ya Walimu Duniani.
KAtika kuadhimisha taja jina la mwalimu wako ambaye hutamsahau kamwe
Ushaurimimi hadi saivi nipo nayo hapa kidole kimevimba
pale basi la Ngorika linapowapa dakika 2 za kuchimba dawa
![]()



noma sanaHahaha game ni bonge la addiction, mi nishaacha japo huwa najikumbushia onetime nikiwa loosemimi hadi saivi nipo nayo hapa kidole kimevimba
Abdulrahman Mohammed Babu.Nani huyu Musso?
Owkey, Naskia alikuwa kichwa sana kabla ya kutimka Bongo!!!Abdulrahman Mohammed Babu.
okay kuanzia kesho itakuwa jioniUshauri
Km muda unaruhusu basi kipindi chako uwe unaleta jioni/usiku sababu vipindi vikifululiza muda mmoja tunachoka na kushindwa kujadili
Nondo zako zipo poa
NB:
NI ushauri tu
.......................
sijui kwa kweliDuh hii sijui wanaiadhimishaje?
Hatujambo....mishe zinaendaje jangala?Makapuku hamjambo?
Itakuwa poaokay kuanzia kesho itakuwa jioni