Makapuku Forum

1976 - Mauro Camoranesi anazaliwa.

Ni mchezaji wa zamani wa Juventus na timu ya taifa ya Italy.

Alikuwepo kikosini wakati Italy inashinda ubingwa wa Dunia mwaka 2006 pale Ujerumani.

Licha ya kuchezea timu ya taifa ya Italy, Camoranesi ni mzaliwa wa nchini Argentina.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…