briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Nshakaribia kakaPole na karibu tena
Nshakaribia kakaPole na karibu tena
Tayari d, niko fit sasaKale kwanza dia
Health comes first
kwii kwiiiii
fwara kabisa wewe
hivi vipicha vyako vinakera sana

Hahahahaha nimecheka sana ngoja nikanywe bia hahahahaha
Hahahahaha ngoja Simba waje hahahahaha
jonax hahahahaha mchape bakora hahahahaha
lipumba
Kesho simba tunashinda hili game, tena kwa magoli mengi.jonax hahahahaha mchape bakora hahahahaha

Mimi nitajificha ili nisiwasikie mnavyotambianaKesho simba tunashinda hili game, tena kwa magoli mengi.
After ushindindi sasa:
Nitakuja kutamba hapa kama sina akili nzuri vile
![]()
![]()
![]()
kushinda njaa inamaana umeiangamiza so lazima tule ili tushinde njaa baadae tushinde na mechi piaLabda mshinde njaa
![]()
![]()
![]()
Kwavile unaogopa mizingaNikuulize kitu?
Ok, tusubiri tuonekushinda njaa inamaana umeiangamiza so lazima tule ili tushinde njaa baadae tushinde na mechi pia
Usilopenda kuulizwaswali nnalipenda kuulizwa "umenipendea nini?"
Jibu: nmekupendea chura
![]()
![]()
![]()
![]()