Makapuku Forum

Kwanin!!?
Nyerere alisaidia nchi nyingi za kiafrica, hasa pesa, South Africa, Zimbabwe, Zambia, Namibia, Uganda walipata msaada wa kipesa mkubwa sana,

Sasa pesa hizo kipindi hicho angeamua kuwekeza kwenye Elimu tusingekuwa na watu wasiojua kusoma na kuandika

Vita vya Kagera huwa vinatumiwa tu ili tuamini kuwa vita ni Vibaya
 
Kikofia buana
 
Umri wa waafrika hauaminiki
Simuamini BBayaro

..........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…