Makapuku Forum

Makapuku Forum

bc85fb9e7b5a6d4679241819f9dbd5b1.jpg

Acha ubaguzi we mnywa virober

.......
Acha undezi we unaweza kumpeleka demu wako mzuri kama huyo jeshi?
 
makapuku mimi mwenzenu nitavunja rekodi,kwanza kuwa expert member ndani ya siku moja pia kupata likes BUKU...sisi si watu wa mchezomchezo...GO KF
Kafute reply zako kule kwenye ule Uzi kuhusu KF kufikisha views million.....sisi mambo yetu ni kimyakimya hatujibishani na watu hata watukashifu coz ni kuwapa kiki tu
Uzuri na swaga za thread unajulikana tu
............
 
TAHADHARI KWAKO WEWE NA HII HABARI ILOYO FIKA HIVI PUNDE.
TAFADHARI SOMA KWA MAKINI NA MJULISHE MWENZIO

Jana katika sehemu ya kuifaizia wanyama DAR ES SALAAM ZOO ilitangazwa kuwa ametokea nyoka..
Hatari sana Ambaye hajawahi kutokea duniani. wanadai kwamba nyoka huyo anaongezeka
Urefu wa 1.5sm kila akila chakula na huwa anakula chakula kuanzia sekunde 20 kurudi nyuma.
mpaka sasa hakuna siraha ya kuweza kumua nyoka huyo isipokuwa akijiumaa mwenyewe ndo anaweza kufa.
Wanasayasi hao walieeleza japo uchunguzi zaid bado Unaendelea........

Huyu ninyoka anayeua kuliko nyoka wote waliowah kutokea huyu hupatikana katika simu
Pekee za nokia toch katika sehemu ya game inaitwa Sneke senzia.....

Asante kwa umakini mkubwa katika usomaji wa taarifa muhimu!!!!!!!!
 
mvuta bangi alienda bombani kuchota maji
akakuta foleni ya wamama,ikabidi awadanganye kuwa barabarani kuna ng'ombe kagongwa hivyo watu wanagawana nyama.
wamama wote wakakimbilia huko akabaki peke yake.
akawaza kisha nae akaamua kuwakimbilia eti..
  • haiwezekani wakapate nyama peke yao.
wavuta bangi hawataki ujinga
 
TAHADHARI KWAKO WEWE NA HII HABARI ILOYO FIKA HIVI PUNDE.
TAFADHARI SOMA KWA MAKINI NA MJULISHE MWENZIO

Jana katika sehemu ya kuifaizia wanyama DAR ES SALAAM ZOO ilitangazwa kuwa ametokea nyoka..
Hatari sana Ambaye hajawahi kutokea duniani. wanadai kwamba nyoka huyo anaongezeka
Urefu wa 1.5sm kila akila chakula na huwa anakula chakula kuanzia sekunde 20 kurudi nyuma.
mpaka sasa hakuna siraha ya kuweza kumua nyoka huyo isipokuwa akijiumaa mwenyewe ndo anaweza kufa.
Wanasayasi hao walieeleza japo uchunguzi zaid bado Unaendelea........

Huyu ninyoka anayeua kuliko nyoka wote waliowah kutokea huyu hupatikana katika simu
Pekee za nokia toch katika sehemu ya game inaitwa Sneke senzia.....

Asante kwa umakini mkubwa katika usomaji wa taarifa muhimu!!!!!!!!
jonax ndo ushapiga mibange yako sio?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom