Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Pia amekomaa kupita kiasiDada yake Venus sura ngumu
![]()
![]()
![]()
......
Pia amekomaa kupita kiasiDada yake Venus sura ngumu
![]()
![]()
![]()
......
Hahahahaha habari mama mdogoMorning mzee wa kufyatua![]()
Nenda jukwaa la sports kuna mtu kaanzisha thread anauliza kwanini Utd wanaitwa Red Devils.....yule jamaa mzushi wa JF akamjibu kilozi halafu pointlessWatu wameamua kuanzisha kikundi chao cha mafundi ujenzi.
Wakajiita freemason eti nyie mnasema ni waabudu shetani!
Mbona sisi tuna chama chetu cha CHAPUTA lakini hamkiongelei?
Hahahahaha uhuru wanasifia vipangaboi hahahahaha
Nenda jukwaa la sports kuna mtu kaanzisha thread anauliza kwanini Utd wanaitwa Red Devils.....yule jamaa mzushi wa JF akamjibu kilozi halafu pointless
![]()
![]()
![]()
............

Mhh sidhani, na huyu asingejisalimisha wangemuua wenyewe.Hivi bado yupo hai??
Lipumba amekuwa kichekesho
Morning.... Habari ya jumatatu?Moningi mama yangu Jimena Jimenes
Na bora kujisalimisha kwake kumempunguzia makali ya adhabuUlifanyika msako mkali sana
KabisaLipumba amekuwa kichekesho
Kama kawaAko poa kabisa...usubuhi ndio hii kazi zimeanza
Ipo usoni kweny paji la usoSasa hiyo pyramid iko wapi hapo, zaidi ya kujichorea tu
Moningi kitwangaMoningi mama mdogo sweetiepie
1983 - Ricardo Quaresma anazaliwa.
Ni winga wa zamani wa Barcelona, Inter milan, Chelsea na Porto.
Wakati anakuwa alichukuliwa kama mmoja wa wachezaji mahiri watakaokuja kuwika wakikuwa.
Lakini hakuwahi kukidhi matarajio ya wengi. Yumo kundi moja na Javier Saviola, Pablo Aimar na wengineo walioshindwa kung'aa ukubwani baada ya kung'aa udogoni.
Nipo BablaiMukongo upo
1976 - Michaek Ballack anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Bayern Munich, Bayer Leverkusen na Chelsea.
Anachukuliwa kama mmoja kati ya viungo bora wa kati kuwahi kutokea katika soka.
Pia ni miongoni mwa wachezaji wenye bahati mbaya na mataji.
Amevaa jezi namba 13 katika kila timu aliyocheza.