Hahahahaha sasa mnaheshimiana hahahahaha baada ya kujuana kuwa nyie ni makapuku hahahahaha
hapa Kf ni kitovu cha amani na upendo.Hata kutikisika tu haitikisikiIla roho inakuuma sana
We binti, upooooooooo?
Nashukuru sinaga mambo ya kuweka sumu za kipuuzi kama hizo mwilini.Aya wale wa vinyongo
Hutaki kwenda kuyaona mapanga boi + Matoroli kule polifix?Amini msiamini mimi nimebase sana K/f kuliko jukwaa lingine lolote humu JF...huwa naendaga kuchungulia story z uongo na kweli MMU siku moja moja sanaa....Polifix ndio sitaki hata kuingia linanipa stress tu Pambaf

Basi ngoja nifanye kweli, maana nammezea mate Sweetiepie kwa jinsi alivyo mremboHata kutikisika tu haitikisiki
HahahahahaMkwepa kodi![]()
![]()
![]()
![]()
soma hii
Aku staki stress mimi na weekend yangu tulivu hii.Hutaki kwenda kuyaona mapanga boi + Matoroli kule polifix?
![]()
![]()
![]()
![]()
I swear you will end up fall inlove with my Avatar!! shauri zako.Basi ngoja nifanye kweli, maana nammezea mate Sweetiepie kwa jinsi alivyo mrembo
Si mama Mdogo wako?Basi ngoja nifanye kweli, maana nammezea mate Sweetiepie kwa jinsi alivyo mrembo
Endelea hvyo hvyo usipate kansa tukakumiss humu bureeNashukuru sinaga mambo ya kuweka sumu za kipuuzi kama hizo mwilini.

Kama maji mtunginiAku staki stress mimi na weekend yangu tulivu hii.
Kule sa hv inatumika nguvu nyingi kusifia mapanga shaa tu, kila thread ni kusifia tu..Aku staki stress mimi na weekend yangu tulivu hii.

Tuletee na kurasa za nyuma