briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Hao wenye nao ni kama hawako huru.... Mi nna definition tofauti ya kuwa huruTafuta wako uwe Huru
Hao wenye nao ni kama hawako huru.... Mi nna definition tofauti ya kuwa huruTafuta wako uwe Huru
teh teh yule mm ni anko wake bhanaWenzako hawaondoki wameganda humu kuwawekea ulinzi ma-honey wao we unakimbiakimbia.... Ngoja watu tukupige maktaim ndo ujue

Ile trip yetu to bagamoyo my loveNiko poa dear
Hivi hawa mpaka inafikia hapo anakua katamani nini na kawaza nini aswa...![]()
Jamani isije ikawa ni kile kibibi kisumbufu ndo kimefanyiztwa
![]()
![]()
![]()
................
BKuna tetesi kwamba hakuna watu wanaochepuka kama wenza wa watangazaji, maana ukiondoka tu mwenzako anaingia anakula/analiwa mzigo mpaka unapoaga redioni na jamaa anachomoka.
A.NDIO
B.HAPANA
C.SIJUI
We Sumbai!Hapa kapuku tunasheaa... Braza kuwa mpole....
Lizzy sio wako peke yako....
Kapuku hatuna ubinafsi
Poa mkuu, naomba uniPM hiyo address maana naona hapa vurugu nyingi sana itapotea.Endelea kuwakumbusha mkuu. Kuna mambo mazuri hata kama unataka house girl (si Yule mkongwe wa jf) unapata
Asante sana mchungajiUsjali mkuu chukua pesa yako mimi sio mchungaji wa mshahara
Nakusubiri uje kunichukua love!Ile trip yetu to bagamoyo my love
Hahahaaa, hivi mbona sioni watu kumshobokea huyo faiza?
We una raha gani?.. Babe mkali kumtumia uwezi, kila siku humu ndani kesi.... Subiri uone kama hujaachiwa manyoya.Huhuhu,poleni sana,
Mnakosa raha sana.
Enhee, hebu tuambieHao wenye nao ni kama hawako huru.... Mi nna definition tofauti ya kuwa huru
Am on my way babyNakusubiri uje kunichukua love!

Anhaa kumbee, basi sawa...teh teh yule mm ni anko wake bhana![]()
![]()
Mnaanza kumchokoza wenyewe akija hapa wote vichakaniUnamaanisha Faiza fox!![]()
![]()
![]()
Tupo tumejaa tele, karibu.Hivi bado mpooooooo..!?
Unakuta mtu ana ukame wa miaka kumi kama jonax kwanini asikamatie chini.Hivi hawa mpaka inafikia hapo anakua katamani nini na kawaza nini aswa...
Mnaanza kumchokoza wenyewe akija hapa wote vichakani
tena namtamani kweli.Nakusubiri baby!Am on my way baby![]()