Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
Ulete mrejesho mkuu.Ngoja nifanye hivyo
Ulete mrejesho mkuu.Ngoja nifanye hivyo
Nitavunja ndoa za watu humuUlete mrejesho mkuu.
CKuna tetesi kwamba hakuna watu wanaochepuka kama wenza wa watangazaji, maana ukiondoka tu mwenzako anaingia anakula/analiwa mzigo mpaka unapoaga redioni na jamaa anachomoka.
A.NDIO
B.HAPANA
C.SIJUI
Bora angeliomba msaada kuliko hatua mbaya anayotaka kuichukua.Huyu mzee anatia huruma.
A is the most correct answer.Kuna tetesi kwamba hakuna watu wanaochepuka kama wenza wa watangazaji, maana ukiondoka tu mwenzako anaingia anakula/analiwa mzigo mpaka unapoaga redioni na jamaa anachomoka.
A.NDIO
B.HAPANA
C.SIJUI
Paka hapa ushindi ninao mkononi....Jipe moyo utayashinda tu
Siku si nyingi atajinyonga.Bora angeliomba msaada kuliko hatua mbaya anayotaka kuichukua.
Tayari sie tumeshakua mwili mmoja, haina haja ya kusubiri kamati kulijadili.Ha haa kamati itakàa na kulijadili.... Ikiridhia Basi mtakuwa mwili mmoja
Siku hazifananani. ..brazaIlikuaje baby katangaza mmeachana? Anyway subiria tu huruma yake
Tumia mbinu zote hapo hakikisha anarudi mikonono mwakoPaka hapa ushindi ninao mkononi....
Thanks braza.... Mlinde saana shemej....
Kuna wasakatonge wanasubir kwa hamu
Acha tuu....hawajui tulipo tokaWameanza kukuombea mabaya.
Sawa mkuu kama umefanya hivo. Atapokamilisha upelelezi na kunikubal ndo utajua funguo ulizitupa namimi ndo nimeziokota. Kwaherin kwa Muda makapuku
Tupo mkuu,umepotea sanaHivi bado mpooooooo..!?
Nahrene bado hajarudi homeAcha tuu....hawajui tulipo toka
MPE hi nahrene