Makapuku Forum

Nimejisikia kuibadili coz ilitimiza mwaka nzima now nakuja kivingine
Tatizo la ile avatar ni ile kata k na mnenguo watu wanapata cha kuongea kwa hapa KF haikuwa na tatizo coz tunataniana tatizo kwenye thread zingine
...............
Umefanya jambo jema ilikuwa imekaa kihuni sana japo tuliizoea hapa nyumbani, umekuja kivingine hii iko poa sanaaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…