Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
Unaghuna nini Papaa, mbongo mu makalatasi lovee ndyo kilya kituMhhhhhh
Unaghuna nini Papaa, mbongo mu makalatasi lovee ndyo kilya kituMhhhhhh
PoleKweli basi ntaitoa maana ni mimi huyo...nilienda posta mpya pale karibu na CRDB kupiga picha ya Quality ya juu nimechoka selfie na picha mpauko shemela.![]()
W.U PapaaTigo pesa, mpesa, aitel many na western union anaweza kutumia
Yule wa kutumwa anatumia

Ndio!Unajifunga maisha, hapo jaji hahusiki
DuuuhIrudishe jirani
Na hawatowafahamu.
Mh! Em niambie nagunduaje ikiwa atarudi smart kama alivyoondoka? Na usisahau ile organ ni kama elastic material huwa inarudi kwenye original size baada ya tendo ama ntapimaje?![]()

Nimekumbuka naenda Backlays nahamisha tu kwenye accountMaana kamuomba dola million 6
JiraniKwa kesi yako hiyo...ni kweli endapo ataonana na Bamia ila kama akikutana na kubwa zaidi yako...utagundua tu...na hiyo sehemu ni kama plastic inajirudi nakubali ila sio hapo hapo kwa siku moja baada ya tendo...uwiiiiiii Jonax usisome hii wewe ni mtotositaki hata kuendelea.

Hongera kwa 109k
Euro, Pound, dollary, mafaranga, shillings etc.Tena mbongo mingi mingi...![]()
Maombi si mchezo
Kuna sehemu mtu aliidukua, sikumbuki ni page ya ngapi
Makalatasi kwanza, ndio love baadayeUnaghuna nini Papaa, mbongo mu makalatasi lovee ndyo kilya kitu
Tuchoke kwa nini kwa mfanomakapuku hamchoki
Tanzanie mupesa shidaeeh??? Njoo PaliiMakalatasi kwanza, ndio love baadaye