MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,102
Hahahahaha mkuu kwenye forum ya makapuku nilikuwa napita tu ila leo nimehamia rasmiSiyo mgeni kivile
..............
Hahahahaha mkuu kwenye forum ya makapuku nilikuwa napita tu ila leo nimehamia rasmiSiyo mgeni kivile
..............
Chukua huyu werrason naye anatafuta, usiogope jinaMkuu nimehamia kabisa, mnitafutie na mchumba, najua humu kuna mabinti makapuku kama mimi
Dah!!! Ashasepaga long time na aliaga kabisaJamani shezni yupo mbona huwa simuoni
Szczesny

Haya karibuHahahahaha mkuu kwenye forum ya makapuku nilikuwa napita tu ila leo nimehamia rasmi
Oui PapaaPoa papaa itabidi nianze kuongozana nae![]()
Asili yao Congo
![]()
![]()
![]()
..........

BwahahahahahaaaChukua huyu werrason naye anatafuta, usiogope jina

Af Veevee ntakuzingua dk. 0Chukua huyu werrason naye anatafuta, usiogope jina
Unataka kutuambia umekosa kabisa mchumba kule jukwaa pendwa?Mkuu nimehamia kabisa, mnitafutie na mchumba, najua humu kuna mabinti makapuku kama mimi
Dah!!! Ashasepaga long time na aliaga kabisa![]()
Briz mith uu
Alisema haingii JF kabisaDu kumbe mi nkajua anaingia kwa kuvizia

Hahahahaha najiona kama ng'ombe aliyekatwa mkia na kuingia zizini, ng'ombe wenye mikia wanabaki wanamshangaa hahahahahaha, Asante mkuuHata karibu
Hapa ni kujichanganya tu
Kuku mgeni hakosi kamba mguuni
No shobo
No ufagio
.................
Me too, mishe vp kaka?Briz mith uu
Vp mbona umecheka sanaBwahahahahahaaa![]()
Mkuu jina limenitishaChukua huyu werrason naye anatafuta, usiogope jina