Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hamna sio watu hawataki kuachia nafasi, unakuta uzi maybe una post 20 au zaidi mbele so mtu hawezijua kama umeingia coz anafukuza uzi that's what happened to me!!!
Ukiingia soma post ujue uzi umeishia wapi kabla ya kuquote mbona wengine huu ujanja wanajua
Shida ni pale mtu anapoingia na kiherehere cha kuquote post kuanzia alipoishia mara ya mwisho

......................
 
Ukiingia soma post ujue uzi umeishia wapi kabla ya kuquote mbona wengine huu ujanja wanajua
Shida ni pale mtu anapoingia na kiherehere cha kuquote post kuanzia alipoishia mara ya mwisho

......................
Wala!!! Nenda kaangalie, mkiwa wengi na unajibu quote lazima uachwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom