makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,962
- 104,375
Tena wa hali ya juuHuu ni uchochezi![]()
Tena wa hali ya juuHuu ni uchochezi![]()
Hawa jamaa bana yani mi mwenyewe nimeiona hiyo 'wangu' hata siku-doubt chochote kwa kuwa hata mi huwa naitumia kwa ladies karibu wote humu.. Sasa i wonder leo we kuitumia kwa JJ imekua ni topic ya briz kupinduliwaWe bhana wee.. Umetafsr vbaya eehh..
Mie kusema morng jimena wangu, haimaanishi ni mpenz wangu..
Ila inaonesha ni kipenz changu... Moja kati ya watu ninaowakubali.. Wee swaga hzi kongo hamna..
Usinivunjie udugu na briz bhana..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ApiyaHawezi kujibu

Cc sweetiepieKweli kabisa.....kama wewe ulivyopinduliwa![]()
![]()
![]()
Mie sio man fongo bhana..Mbona hapojuu anamsabahi na malovee na miss nyingi!!!
Watu wameshafanya mapinduzi ya kijeshii![]()
![]()
![]()
Wapi uchochezi mamii?Wewe ni mchochezi mzuri sana![]()
Jana Man U imepinduliwa hasira zimeishia kwako sasaHawa jamaa bana yani mi mwenyewe nimeiona hiyo 'wangu' hata siku-doubt chochote kwa kuwa hata mi huwa naitumia kwa ladies karibu wote humu.. Sasa i wonder leo we kuitumia kwa JJ imekua ni topic ya briz kupinduliwa


!Tutamfungulia kesiaisee we jamaa ni mchochezi kiwango cha mbingu
Bao la kisigino hiloNiaje hommie, mbona watu wanataka kunipandikizia chuki kwako?

Baelezee baeleweacheni hizo mukongo
mi siachwi ng'ooo
Amuna! Niko na mutoto mukaleee Tanzanie Muzima HAKUNAGA!!!Mukongo iko na wivu mubaya sana
Namjua vizuri huyo ni mchochezi sana pamoja na sacajoMukongo iko na wivu mubaya sana
Moyo MashineWapi uchochezi mamii?

Pacha wakoNimetania tu jiran usikimbie.
Werrason kakuza mambo..Mbona kama 2pac alikuwa kafanya mapinduzi ya dakika kadhaa
Me huwa sipendi watu wachochezi.....kwahiyo siwezi kuwa mchoziaisee we jamaa ni mchochezi kiwango cha mbingu