makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,453
- 108,534
Ningeweza tu mkuu... Sio kwa toto lile..[emoji23] [emoji23] [emoji23] usingeweza wazungu waliisimamia hii show ilikuwa inalindwa balaa had ngoz nyeupe walichizika ujue ulikuwa mzigo wa maana ila alikufa mapema sana kutokana na magonjwa ya ngono alidhalilishwa sana ila mwili wake wa south waliufuata
Kuweka msistizoLe dectateur
Nikipata time huwa nasikiliza mara moja moja kukumbushia..Daah bonge moja la pini
[emoji15] [emoji15] [emoji15] mbona hatarKtk historia yake huyu alizaliwa huko south africa kabila lake khoikhoi alichukuliwa kama mtumwa na kupelekwa england kwa madhumuni ya watu kupiga hela kwa kumuweka kwenye jumba la maonesho mbalimbali hii ni kutokana na kuwa na makalio makubwa inaaminika had leo hapajatokea wa kumfunika.
Pia wazungu walikuwa wakilipa hela kwa ajili ya kufanya nae ngono kidogo historia yake ni ndefu sana had kufikia france
Died 29 December 1815 (aged 25–26)
Paris , France
miaThanks le dictator
[emoji23] [emoji23] [emoji23]View attachment 399993
fellaini already made kolarov day happier! [emoji23] losing his teeth [HASHTAG]#FellainiKungFu[/HASHTAG]
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji23]Kuweka msistizo
Huo ni unyama[emoji23] [emoji23] [emoji23] usingeweza wazungu waliisimamia hii show ilikuwa inalindwa balaa had ngoz nyeupe walichizika ujue ulikuwa mzigo wa maana ila alikufa mapema sana kutokana na magonjwa ya ngono alidhalilishwa sana ila mwili wake wa south waliufuata
Noma sana[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kolarov kawa kama joti
Kweli mkuuHuo ni unyama
Uchochez huoo[emoji111]
Daaaah ngoja nilisikilize sasa hivi lile ni pini la ukweli la muda wote!!!Daah bonge moja la pini
Hapo ndipo unapogundua kuwa wazungu akili zao ni fupiiKweli mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijamuona ujue naomba nitagie nimuone huyo dada aliyekuwa nyama ya mabazazi.Dah.. Ni pini!!!
Bora ningezaliwa kipindi hiko, halaf mission yangu ni kumkomboa huyo mwali tu[emoji8] [emoji8] [emoji23] [emoji23] [emoji8] [emoji8]
Yaani hyo picha nikajua ni cwr p wangu.. Japo sura tu ndio kazidiwa kidogo na Cwt p wangu..[emoji8] [emoji8] [emoji7] [emoji7] [emoji23] [emoji23]