Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ni kweli naskia white house yao hadi facilities za Rais ziko totally secured sana!! mfano ile gari aliyokuwa anatembelea Obama haiwezi hata kulipuliwa imesetiwa imewekwa sensors inaweza kukwepa hata missiles automatic na ndege yake pia...mfano ile marais wao kuuawa unakuta wao wenyewe humo humo ndio wameamua unakuwa kama mpango umepangwa hali kadhalika na white house yao wakiamua ivamiwa itavamiwa.
1473599307391.jpg
1473599312366.jpg
1473599317726.jpg

Linaitwa The Beast(mnyama)
..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom