Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
Ahsante Musso five, SWALI:-taasisi yako ina-deal na nini???Leo katika Historia:
Sina la ziada, kwa udhamini mnono wa Taasisi ya Mussolin5 sina la ziada, niwatakie Jumapili njema.
Byee!!
Ahsante Musso five, SWALI:-taasisi yako ina-deal na nini???Leo katika Historia:
Sina la ziada, kwa udhamini mnono wa Taasisi ya Mussolin5 sina la ziada, niwatakie Jumapili njema.
Byee!!
Hao wabaya upande wa pili ndio wako vizuri balaa....naskia wazuri ni nje tu ndan hamnaga kitu.
umiskia kwa nani???Tisher sana nsekwaJengo hilo refu linaitwa SHANGAI TOWER lina urefu wa 632m na ni la pili kwa urefu duniani baada ya lile la Dubai. Jengo la jirani yake ni la saba kwa urefu duniani.
Nimepiga picha nikiwa juu ya mnara wa TV na Radio uitwao *Oriental pearl Radio &TV Tower* wenye urefu wa 350m ambao uko kama mita 300 kutoka kwenye jingo hilo. Mnara huo kwenye urefu wa 285m pamejengwa na material transparent kama kioo yanayoonyesha chini palivyo. Jamaa wanakusanya mapato ya utalii kwa wingi sana kwenye mnara huu. Siwezi kutuma picha zote, leo natuma hizi tu za eneo moja tu.
Nawatakia Jumapili njema
Hao ISIS wengi ni wazunguHii conspiracy huwa naiskia sana sijui ukweli ni upi? Naskia hata ISIS ni mpango wao wenyewe
Uliniambiaga,au umesahauUmijuaje???![]()
Bariadi je??Ngoja nikuelekeze nnapopatikana................sio kwengine bali ni humu humu Ndani ya Kapuku forum!!!!![]()
Asa unaniuliza mimi au mleta post?Kwanza Huyo shivo wanamruhusuje kufanya usafi wakati operesheni inaendelea!!!
Powa, za jpili???Mamboz
Yaani nimekutana nao ila mwenzangu amewasifia sana na akasema si mara yake ya kwanza ameshawala nchi moja ya Ulaya na aliporudi Dar aliwatafuta kwa kasi mpaka akawapataThank you....ila usije tu ukala kono kono tu huko.
Poa, semegi yukwapi???Niaje Papaa
Ndio, Sweetiepie alinipeleka kuangalia mashindano ya uchawi kati ya wakigoma, wasumbawanga na wenyeji wa huko bariadi(gambosh)Ati nini? Ulishafika Bariadi wewe?
Nnethahau!!!Uliniambiaga,au umesahau

Nzuri kabisa, vipi huko sichambePowa, za jpili???
Bariadi ni lake zone??Woyoooooo shouts out to lake zone!!!!!!!!!!!!
Nionyeshe na mimi hizo picha...... SijazionaTisher sana nsekwa
nsekwa uwe unatupiamona zamademuwakiasiaJengo hilo refu linaitwa SHANGAI TOWER lina urefu wa 632m na ni la pili kwa urefu duniani baada ya lile la Dubai. Jengo la jirani yake ni la saba kwa urefu duniani.
Nimepiga picha nikiwa juu ya mnara wa TV na Radio uitwao *Oriental pearl Radio &TV Tower* wenye urefu wa 350m ambao uko kama mita 300 kutoka kwenye jingo hilo. Mnara huo kwenye urefu wa 285m pamejengwa na material transparent kama kioo yanayoonyesha chini palivyo. Jamaa wanakusanya mapato ya utalii kwa wingi sana kwenye mnara huu. Siwezi kutuma picha zote, leo natuma hizi tu za eneo moja tu.
Nawatakia Jumapili njema