Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1971 - Katiba ya Misri yaanza kutumika Rasmi.
1473583087363.jpg
1473583091765.jpg
1473583095815.jpg

Mother Law
........
 
Muhimu tu niwe shemej yako.. Anaweza akawa mbaya zaid ya masoud sura mbaya.. Ila upande wa pili na muhimu zaid fundi na mrembo wa kitandani zaid ya kim kardashian..

Kwanza atakaejua mbaya nan, namvesha baibui na nikabu, humuon sura
Hao wabaya upande wa pili ndio wako vizuri balaa....naskia wazuri ni nje tu ndan hamnaga kitu.
 
Huyu mbona analika vizur tu, ukimchunguza vizur huyu ni mrembo tena sana, ila bitoz katuletea picha dada yake alikuwa akaigize scene ya uzombi.. Au kampga make up za kumahribu kusud ili nisimchukue, sasa mie hapa haina uzombi ninakula.. Halaf kwa picha hii namchukua bila ya mahari, nanunua dhahabu kwa bei ya kokoto.
 
2001 - Yanatokea mashambulizi ya Kigaidi huko katika miji ya New York, ambapo ndege zilizoongozwa na Magaidi wa Al Qaeda wanashambulia jengo la Biashara la Kimataifa.

Katika tukio hilo maarufu kama " September 11 " pia walishambulia makao makuu ya Jeshi la Marekani " The Pentagon " na kusababisha watu takribani 3000 kupoteza maisha.

Baada ya hapo Marekani ikaanzisha vita dhidi ya Ugaidi, ili kuwasaka wale wote waliohusika ambao ni Al Qaeda chini ya Osama bin Laden.
Naona mpaka leo Marekan ni adui wa karibia nchi zote za Kiislam
 
2001 - Yanatokea mashambulizi ya Kigaidi huko katika miji ya New York, ambapo ndege zilizoongozwa na Magaidi wa Al Qaeda wanashambulia jengo la Biashara la Kimataifa.

Katika tukio hilo maarufu kama " September 11 " pia walishambulia makao makuu ya Jeshi la Marekani " The Pentagon " na kusababisha watu takribani 3000 kupoteza maisha.

Baada ya hapo Marekani ikaanzisha vita dhidi ya Ugaidi, ili kuwasaka wale wote waliohusika ambao ni Al Qaeda chini ya Osama bin Laden.
1473583621071.jpg
1473583626609.jpg
1473583633954.jpg
1473583639097.jpg

Sad...japo siwapendi Wamarekani
........
 
Nsekwa tupia picha za Asia

.......

Jengo hilo refu linaitwa SHANGAI TOWER lina urefu wa 632m na ni la pili kwa urefu duniani baada ya lile la Dubai. Jengo la jirani yake ni la saba kwa urefu duniani.

Nimepiga picha nikiwa juu ya mnara wa TV na Radio uitwao *Oriental pearl Radio &TV Tower* wenye urefu wa 350m ambao uko kama mita 300 kutoka kwenye jingo hilo. Mnara huo kwenye urefu wa 285m pamejengwa na material transparent kama kioo yanayoonyesha chini palivyo. Jamaa wanakusanya mapato ya utalii kwa wingi sana kwenye mnara huu. Siwezi kutuma picha zote, leo natuma hizi tu za eneo moja tu.

Nawatakia Jumapili njema
 

Attachments

  • DSC_0823-1067x1600.JPG
    DSC_0823-1067x1600.JPG
    43.9 KB · Views: 28
  • DSC_0867-1600x1067.JPG
    DSC_0867-1600x1067.JPG
    96.7 KB · Views: 19
  • DSC_0868-1600x1067.JPG
    DSC_0868-1600x1067.JPG
    133.4 KB · Views: 28
  • DSC_0898-1600x1067.JPG
    DSC_0898-1600x1067.JPG
    56.7 KB · Views: 21
  • DSC_0925-1600x1067.JPG
    DSC_0925-1600x1067.JPG
    110.2 KB · Views: 21
  • DSC_0934-1600x1067.JPG
    DSC_0934-1600x1067.JPG
    119.3 KB · Views: 23
  • DSC_0936-1600x1067.JPG
    DSC_0936-1600x1067.JPG
    73.7 KB · Views: 21
  • DSC_0946-1600x1067.JPG
    DSC_0946-1600x1067.JPG
    147.2 KB · Views: 22
  • DSC_0957-1600x1067.JPG
    DSC_0957-1600x1067.JPG
    149.3 KB · Views: 23
1945 - Franz Beckenbauer anazaliwa.
Ni maarufu kama " The Kaiser "

Ni mchezaji na kocha wa zamani wa Bayern Munich na Ujerumani.

Anachukuliwa kama mchezaji bora wa Ujerumani wa muda wote japo alicheza nafasi ya Beki.

Ameshinda Kombe la Dunia akiwa Mchezaji mwaka 1974 na pia ameshinda kombe la Dunia kama kocha mwaka 1990 alipoiongoza Ujerumani kushinda dhidi ya Argentina ya Diego Maradona.
1473584109085.jpg
1473584113717.jpg
1473584119206.jpg
1473584133260.jpg

The Kaiser
.........
 
Jengo hilo refu linaitwa SHANGAI TOWER lina urefu wa 632m na ni la pili kwa urefu duniani baada ya lile la Dubai. Jengo la jirani yake ni la saba kwa urefu duniani.

Nimepiga picha nikiwa juu ya mnara wa TV na Radio uitwao *Oriental pearl Radio &TV Tower* wenye urefu wa 350m ambao uko kama mita 300 kutoka kwenye jingo hilo. Mnara huo kwenye urefu wa 285m pamejengwa na material transparent kama kioo yanayoonyesha chini palivyo. Jamaa wanakusanya mapato ya utalii kwa wingi sana kwenye mnara huu. Siwezi kutuma picha zote, leo natuma hizi tu za eneo moja tu.

Nawatakia Jumapili njema
Duuh haya sio mbaya kusafisha macho hata kwa picha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom