Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Nilijua mnyakiHiyo mbona sura ya kiha
Nilijua mnyakiHiyo mbona sura ya kiha
SanaaUdaga /muhogo ni mzuri sana
Queen Latifah Weekend Love instrumental:
Mama la mama Queen Latifah na "weekend love" Jiraniiiiiii![]()
Nimiona!! Wanabana sanaUmionaeeh!!! Chukua like
Queen Latifah - U.N.I.T.Y.:
Dedication to All Kapukuz....
Kusakata kabumbuFundi wa kujenga au wa nguo???![]()
Hapo sawaAko nayo nimemupaki Palii
Mi siupendiiUdaga /muhogo ni mzuri sana
Jioni sikuwepo sababu ya majukumu ya kifamiliaHujaonekana jana karibu sna.
Nachompendea Queen Latifah....Ni muimbaji japo sikuhiz nadhan hayupo sana huko, ni actor wa movies, pia ni Comedian mzuri tu na mambo ya fashion pia anafanya...yani ana vipaji double double.Imetimia sna namkumbuka rafiki yangu kipenzi tukiwa mbalizi mbeya kabla hatujaachana na harakat za kusaka life da umenikumbusha mbali sana jamaa anampenda sana.
Anza kuula naona shemizo anahitaji pumzi ya kutosha...Mi siupendii

Wamama ndio Naskia wakihadithiana na kuitana kwenda ku-watchMi mwenyewe naiangalia ki machale naona mapenzi yametawala sana hamna kitu kipya
Nachompendea Queen Latifah....Ni muimbaji japo sikuhiz nadhan hayupo sana huko, ni actor wa movies, pia ni Comedian mzuri tu na mambo ya fashion pia anafanya...yani ana vipaji double double.
To emphasize this put a pictureHapo sawa

Mimi niliiangalia mara moya tu wala sikutaka hata kufahamu inarushwaga siku gani tena yani ni mapenzi tuuuuuuuuu....!!!Sijaiangalia muda mrefu hiyo tamthilia asee