makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,011
- 104,572
Safi.. Ushaur mzur..Umaarufu unaanzaga kidogokidogo,
Anza kujitangaza mapema:
Ushauri wangu kwako
1. Acha msimamo mkali
2. Acha shobo za kinyaki
3. Acha dharau coz wajinga na
waerevu wote ni wateja wako
watarajiwa
NIMEKUSOMA SANA UNA HAYA;
1. unajua kusimamia jambo lako
ambalo n jambo jema kibiashara
2. Wew ni mbunifu sana, hii ni fursa nzuri ku make money kwako
Poa sasa kwa vile umekuja. Miss u moreMambo ni gani baby ake.. Miss you mingimingi
Fresh tu joh,vip huko!!?Niajez jombaa?
Kila la kheri mkuu..Shombo & dharau zangu ni za kiutani
Kumbe unachukulia serious
Zimesaidia kunyoosha wazinguzi bila hivyo mambo yasingeenda
In real life mm ni mcheshi na mpole
Anyway thanks kwa ushauri
........................
Ushauri mzuriHakuna anaezaliwa na umaarufu.. Fanya kazi nzur yenye ubora, kila mtu atakutambua na atataman kufanya kazj nawe..
Juhudi huzidi kipaji..
Kila la kher mkuu.
Kwa mengine zaid tutataftana
Sikuazimi we jipendekezeMzee wa kupigilia pamba za kijanja
Kama atanielewa, dunia hii tunategemeana sana, kila ulichonacho wew ni fursa kwa mwenzio. Kutegemeana huko ndiko nafasi yetu ya kuuza tulicho nacho na hivyo kutengeneza pesaSafi.. Ushaur mzur..
Weka pichaHutumii ndumba kweli ??
Hayo ni makosa makubwa mnoo kwenye ndoa nyingi..acha hizo mpe sifa zake bana
Najipanga kwanza huwa sikurupuki kuanzisha kitu ht KF nilitafiti na kuileta ktk muda muafakaKila la kheri mkuu..
Nipe sababu ya kusema mimi ndo nimemleta. Then nitakujibuNipe sababu ya kukuamini
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/17537082
Hongera sana bae kwa kutupia post ya 102kNi wapi huko mkuu?
Naona unanikwepa na kunipiga mawe kwa mbali, sawa tu, ole wako nikubambe ck moja utasema yote
Na hawa je?Wazembe
.........
Mi ninachoanzisha sisemi kwanza kuna "matapeli wa idea" nishawahi kuibiwa project na watu niliowaamini halafu now inabambaHayo ni makosa makubwa mnoo kwenye ndoa nyingi..
Nataka kuanzisha kituo cha ushaur wa ndoa ni vipi watu wanaweza kuishi ndani ya ndoa na mambo mengine mengi kuhusu ndoa.