Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,652
- 25,849
Wooork true trueKaazi kweli kweli
Akizidiwa mashambulizi anakimbiaAnadharau sana huyu boya... Mshughulikie tu mzee wa city bway.
Km huwezi utani hapa hapakufaiNo, mimi ni mwanamume acha utani mkuu
Mkate makofi, we utakubalije?No, mimi ni mwanamume acha utani mkuu

Ewaaaaa! Hii pia ni ya muhimu sanaaaaKqma nimeikosa 100k sasa nainyemelea 111111..
Hakika kabisaFundi mmoja, anafinya na kulia, anapiga shoot na kushoto, ana receive na kushoto anatoa pasi na kulia.. Mchezaj ninaemuadmire zaid, cz uchezaj wangu wote,katika kipaji changu sikubalikiwa hilo tu.. Nikimuona mtu anatumia miguu yote ipasavyo namuonea gere..
Alexander hleb
Pedro Rodriguez
Nimemsamehe bureMkate makofi, we utakubalije?
Ingekuwa mm damu ingemwagika
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
HaaaahaaaaMm zimeshanizoea mpk wamesema hawanipi tena
Mnyaki huyo
Utasubiri sanaKqma nimeikosa 100k sasa nainyemelea 111111..
Oya.. Jonax njoo usikie huyu kibogoyo wa ujanan, mwanafunz wa ras simba!!Mbona habari ya Jonax kakamatwa akibaka ng'ombe sijaioma gazetini?
![]()
![]()
![]()
.........

Anakuzingua tu...relaxNo, mimi ni mwanamume acha utani mkuu
Eeeh hayaWakuu niko on transit ntapotea hewani kidogo nikifika ntaungana tena