Makapuku Forum

Makapuku Forum

Maneno ya mkosaji
1473234998555.jpg
 
Akili isikatae bana...tutaenda hotel usiku lakini...maana mchana wanakamatwa!! sasa umeniachaje achaje mimi?!...nimekwepa vishawishi vyote.

Sent from my SM-G361H using JamiiForums mobile app
Kwa kweli.. Inabidi nikuache kwa huba moja zito, kama shukran ya muda wote tuliokuwa pamoja, imeandikwa tumeungana kwa heri kama kuachana tuachane kwe heri, sisi tuliungana kwa huba na tutaachana kwa huba.

Hatuendi guest bhana.. Sisi hadhi ya hotelin, kama lodge ni lodge zile za kando ya jiji kabisa.. Ipo moja kigambon hatar sana nje ya mji huko utamaliza vilio vyote hata jirani hasikii..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom