Makapuku Forum

Makapuku Forum

1473233308263.jpg
pale unapoifukuzia post ya 100k afu ukajikuta nyuma Jonax na mwenzie Nsekwa wanakuvutaaa shati weee hadi unadumbukia shimoni...
 
Taarifa nilizozipata hivi punde...watu wanaolala gesti mchana mchana wameanza kukamatwa!!!!! kuna defender linawazoa ningeweza kuwatumia Audio ila ndo siwezi ku attach! waambien jamaa zenu watoke haraka ni sheedar. Makonda ameshasaini sheria ya watu wanaoingia gesti mchana kukamatwa.

Sent from my SM-G361H using JamiiForums mobile app
Wanyaki tutapona kweli

.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom