Makapuku Forum

Makapuku Forum

Taarifa nilizozipata hivi punde...watu wanaolala gesti mchana mchana wameanza kukamatwa!!!!! kuna defender linawazoa ningeweza kuwatumia Audio ila ndo siwezi ku attach! waambien jamaa zenu watoke haraka ni sheedar. Makonda ameshasaini sheria ya watu wanaoingia gesti mchana kukamatwa.

Sent from my SM-G361H using JamiiForums mobile app
Hhmm.. Sasa huku kuingiliana uhuru..
 
Bando la chuo limeisha saa sita usiku
1473233759448.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom