Kitombise JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 8,652 Reaction score 25,849 Sep 5, 2016 #98,261 Jimena said: Nimeingia chumbani nikakuta panya wamekula dawa yangu ya meno, Na mimi nimechukua ya kwao nikanywa. Sipendagi ujinga mimi!! Click to expand... Tena ishushie na super glue kabisa Alaaaaaa! Kwani sh. Ngap bhanaaa?
Jimena said: Nimeingia chumbani nikakuta panya wamekula dawa yangu ya meno, Na mimi nimechukua ya kwao nikanywa. Sipendagi ujinga mimi!! Click to expand... Tena ishushie na super glue kabisa Alaaaaaa! Kwani sh. Ngap bhanaaa?
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,234 Reaction score 68,268 Sep 5, 2016 #98,262 Jimena said: Wapi Mussolin5 sio kwa kuadimika huku mwenyekiti Click to expand... Leo nilibanwa sana.
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,234 Reaction score 68,268 Sep 5, 2016 #98,263 Jimena said: Finally Karibu tena mwenyekiti Click to expand... Ahsante
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,234 Reaction score 68,268 Sep 5, 2016 #98,264 Leo katika Historia:
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Sep 5, 2016 #98,265 Jimena said: Huu sasa uchochezi jamani Click to expand...
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Sep 5, 2016 #98,266 Bitoz said: View attachment 394169 Click to expand...
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Sep 5, 2016 #98,267 Bitoz said: View attachment 394170 Click to expand...
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Sep 5, 2016 #98,268 Bitoz said: View attachment 394170 Click to expand... Siku za mitihani walolimu wajanja!!
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Sep 5, 2016 #98,269 Mussolin5 said: Leo katika Historia: Click to expand... Karibu
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Sep 5, 2016 #98,270 Mussolin5 said: Leo katika Historia: Click to expand... Bitoz anywa soda ........
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Sep 5, 2016 #98,271 Bitoz said: View attachment 394174 Click to expand... Cc:
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Sep 5, 2016 #98,272 Jimena said: Kachu alikuwa ufukweni mwa bahari akiwaza sana. Nguvu akamuuliza: Unawaza nini? Kachu akajibu: natafakari hii bahari ingekua supu ningeinywa na chapati ngapi? Click to expand... Kachu nomaaa
Jimena said: Kachu alikuwa ufukweni mwa bahari akiwaza sana. Nguvu akamuuliza: Unawaza nini? Kachu akajibu: natafakari hii bahari ingekua supu ningeinywa na chapati ngapi? Click to expand... Kachu nomaaa
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Sep 5, 2016 #98,273 Jimena said: Nimeingia chumbani nikakuta panya wamekula dawa yangu ya meno, Na mimi nimechukua ya kwao nikanywa. Sipendagi ujinga mimi!! Click to expand... Sasa huyu anaona kabisaaa kamkomesha panya...
Jimena said: Nimeingia chumbani nikakuta panya wamekula dawa yangu ya meno, Na mimi nimechukua ya kwao nikanywa. Sipendagi ujinga mimi!! Click to expand... Sasa huyu anaona kabisaaa kamkomesha panya...
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,234 Reaction score 68,268 Sep 5, 2016 #98,274 1666 - Moto Mkubwa uliozuka Jijini London wazimwa. Moto huo uliozuka kwa siku tatu uliteketeza maelfu ya majengo katika jiji hilo ikiwemo kanisa maarufu la kipindi hiko la Mtakatifu Paulo. Pamoja na kuwa moto huo ulikuwa mkubwa sana, uliuua watu 6 tu.
1666 - Moto Mkubwa uliozuka Jijini London wazimwa. Moto huo uliozuka kwa siku tatu uliteketeza maelfu ya majengo katika jiji hilo ikiwemo kanisa maarufu la kipindi hiko la Mtakatifu Paulo. Pamoja na kuwa moto huo ulikuwa mkubwa sana, uliuua watu 6 tu.
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Sep 5, 2016 #98,275 Mussolin5 said: 1666 - Moto Mkubwa uliozuka Jijini London wazimwa. Moto huo uliozuka kwa siku tatu uliteketeza maelfu ya majengo katika jiji hilo ikiwemo kanisa maarufu la kipindi hiko la Mtakatifu Paulo. Pamoja na kuwa moto huo ulikuwa mkubwa sana, uliuua watu 6 tu. Click to expand... Wallahi ingekuwa hapa bongo huo moto ungeua maelfu...
Mussolin5 said: 1666 - Moto Mkubwa uliozuka Jijini London wazimwa. Moto huo uliozuka kwa siku tatu uliteketeza maelfu ya majengo katika jiji hilo ikiwemo kanisa maarufu la kipindi hiko la Mtakatifu Paulo. Pamoja na kuwa moto huo ulikuwa mkubwa sana, uliuua watu 6 tu. Click to expand... Wallahi ingekuwa hapa bongo huo moto ungeua maelfu...
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Sep 5, 2016 #98,276 Jimena said: Sa wanalia nini? Bwana harusi atakuwa ana undugu na jonax Click to expand... Wanalia nini sasa?!!!
Jimena said: Sa wanalia nini? Bwana harusi atakuwa ana undugu na jonax Click to expand... Wanalia nini sasa?!!!
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,234 Reaction score 68,268 Sep 5, 2016 #98,277 1698 - Mfalme Peter wa Kwanza wa Nchini Urusi anatambulisha kodi ya Ndevu kwa wanaume nchini humo kasoro Wakulima tu.
1698 - Mfalme Peter wa Kwanza wa Nchini Urusi anatambulisha kodi ya Ndevu kwa wanaume nchini humo kasoro Wakulima tu.
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Sep 5, 2016 #98,278 Bitoz said: View attachment 394116 Click to expand... Hawa ni Albino?
Sweetiepie JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 6,107 Reaction score 24,132 Sep 5, 2016 #98,279 Bitoz said: View attachment 394117 Click to expand... Unataka kusema kama shepu hata puppy anayo au?! ...
Bitoz said: View attachment 394117 Click to expand... Unataka kusema kama shepu hata puppy anayo au?! ...
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,105 Sep 5, 2016 #98,280 jonax said: Tena ishushie na super glue kabisa Alaaaaaa! Kwani sh. Ngap bhanaaa? Click to expand... Buree
jonax said: Tena ishushie na super glue kabisa Alaaaaaa! Kwani sh. Ngap bhanaaa? Click to expand... Buree