shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Jumatatu iko poa kabisa mkuuWakuu wazima, jumatatu imeendaje?
Baadae kidogo nitawaletea segment yetu.
Tunasubiri
Jumatatu iko poa kabisa mkuuWakuu wazima, jumatatu imeendaje?
Baadae kidogo nitawaletea segment yetu.
Mpuuzi tu ww
![]()
![]()
![]()
.........
Mpaka Sasa wasukuma wanaongozaAnafuatilia mechi kati ya kizushi wasukuma v Wanyaki
![]()
![]()
![]()
.......
Kikatuni changu kanitapeliKumbe huyu ndio owner wa hicho kikatuni!!![]()
Kesho tu hataonekana hapaAkiishiwa bando lake la chuo atapotea tu
.......
Weka pichaWewe huwa unachungulia?
Bado hajamfikia NgedereKesho tu hataonekana hapa
basi sawa mkuu, mvumilivu hula mbivu!!Jumatatu iko poa kabisa mkuu
Tunasubiri
Huyu ana tabasam kama la Makaveli wangu

Baehilo legezo la jonax ni shiiida
Mwanamashairi huyoDah! Nimeipenda hii
Roho inaishiRoho huwa haifi
Kivipi?
Huyo wa kwenye picha namjua, namuonaga hapa hapa JF
Huyu ni Prezidaa wa mwaka 2045
Weka picha
Hapo sawaHahahabasi itakuwa yako tu.