shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,912
SitakiNawe unataka!!?
SitakiNawe unataka!!?
Heshima kwake
Kachunge ng'ombeMiuzi, misindano bhana..
Nyie watoto wa nyongeza ndio mlivyo.. Lione kwanza..
KaburiniHeshima kwake
Huko hukoKaburini
..............
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hilo legezo la jonax ni shiiidaJonax anachukua mafedha
Kusifiwa ukiwa kaburini hainogiHuko huko
Inanoga sana, maana utakuwa unaishi Duniani kwa matendo yako na msimamo wako,Kusifiwa ukiwa kaburini hainogi
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
.........
Hongera kwa 98k, naona kiwango chako kinazidi kupanda tu... Sasa unaanza kuwa tishio kwa 100kUnatafutwa
Hzo post ndogo ndogo kama hizo zako nmeshazipata zaidi ya 3 sasa.Fanya mazoezi ya kuipata
Inanoga sana, maana utakuwa unaishi Duniani kwa matendo yako na msimamo wako,
Kama Mwalimu Julius Nyerere
Haaaahaaaa, Asante sana brizHongera kwa 98k, naona kiwango chako kinazidi kupanda tu... Sasa unaanza kuwa tishio kwa 100k
Naona uzi unakimbia balaa pengine 100k itakua leo ama kesho100 k itakuwa leo nn
Miuzi, misindano bhana..
Nyie watoto wa nyongeza ndio mlivyo.. Lione kwanza..
Upepo utajulikana jioniNaona uzi unakimbia balaa pengine 100k itakua leo ama kesho
[emoji15] njumu...!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hilo legezo la jonax ni shiiida
Demu anakufaa mnaendana kwa uzober[emoji15] njumu...!
Dah! Nimeipenda hiiNani ana stress wewe, mimi naishi maisha yangu ndan ya ndoto zake..
Kafa mwili + roho