Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,105
NimeionaOna Avatar yake anavyovaa...![]()
NimeionaOna Avatar yake anavyovaa...![]()
Kama niliyoota leo mchana..Ndoto za mchana ndio huwa tamu zaidi
Umeona eheeeDaaah aisee....![]()
Cc mussolinUchawi wake tayari umesha-expiry.
Sasa ni zamu yangu
Hafai hata kwa kukulumagia..

Kama chogo vile, tena kwa kisiginoHongera sana kwa 98k
Naona umetupia kiulainii
Mwite aje achukue thupu yake..Bitoz
Pia huwa za kweliNdoto za mchana ndio huwa tamu zaidi
Fanya mazoezi ya kuipatamlikuwa nami rafiki yenu;
Jonax
Kikofia
Mr. Kutambariiing
Johnax
Or Mr wenge wenge.
Nawatakia siku njema, japo nmejitahidi kwa kiasi fulani kuwepo hapa jamvini.
Wenu mtiiifu![]()
shukrani zimuendee Shululu au kaka yake Lulu kwa kutupia post ya 98k
NAWATAHADHARISHA:
post ya 100k itakuwa yangu....!
Chungulia avatar yake..Hivi Bitoz nae anavaaga mlegezo?
Nin tena cwt p??Daaah aisee....![]()
Twins umesahaulikaSio ya Ximena?
Miuzi, misindano bhana..Mpuuzi tu ww
![]()
![]()
![]()
.........
Pamoja mkuuAsante mkuu makaveli
Wewe huwa unachungulia?Chungulia avatar yake..
Nawe unataka!!?Wewe huwa unachungulia?