Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,225
- 39,940
Ntakuwa pale chobingo nakusubiriNtaileta usiku.

Ntakuwa pale chobingo nakusubiriNtaileta usiku.

Mutu ya kongo...
Kizabizabina..Kivuruge wa ndoa yangu!![]()
And I love thatWorry out.. U'll always be happy BAE![]()
Mutu ya Kongo imekimbia tzii, ipo kwa jirani huko nairoberiaMutu ya kongo...
You are my only hubby!! hizi ni bumping roads tu, i am yoursKama anakupenda atasema, n ni ruksa pia kumchukua, sikuumbwa kuteseka dunian, wala sikuumbwa kuumizwa na mapenz.. Niliumbwa niinjoi maisha nifaidi vile mungu alivyoumba kwa ajili yangu, ask her, kama anakupenda u r free, bt utasubiri kidogo nimrudishe nilipomchukua then utaenda kumchukua huko..
Go on boi ask her.



...i'll be loving you for a long time.Una moyo.. So huyu ndio alikuwa mumeo mtarajiwa.. Ungekufa kabla ya siku zako kwa kweli.. Mwanaume ana nongwa kama mtoto wa mganga..
nimecheka sanaaaaaaaTatizo hawaelewi ujirani wetu umeanzia wapi!Jirani yangu huyu wa ukweli na tunaheshimiana sana
Wote tunapanda nyehunge![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()


Huhuhuuuu-in Joti's voiceUnanitorosha 123 akirudi unanipiga madongo kwa kunikana!!![]()
Na hawawezi kujuaTatizo hawaelewi ujirani wetu umeanzia wapi!![]()
Huna ujanja, mwisho wa gemu mke ni wangu, sukari yake mie


mbona unajimilikisha mpenzi wa mtu?Hii michezo nayo mweeeeer, sema inapeleka uzi sasa!!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hakika nimecheka hadi basi
Mkuuu
Mchezo huuuu
Hauhitaji
HASIRAAAAAAA![]()
![]()
![]()
![]()
BaelezeePole shemeji
Ila usiwe unafanya hivyo maana utawakasirisha briz na Sweetiepie kitu ambacho hakipendezi
Haroo we ni rigaidi! Haiwezekani umteke hivyo hiro ribintiMutu ya kongo...
Ndiyo maana ya kapuku![]()
![]()
![]()
nimecheka sanaaaaaaa
Huu mchezo hauhitaji hasiraOohh.. My gosh.. Jimena ukuje usikie huku kinachoendelea, shululu, briz, patience, Mussolini, bitoz n.k

Haya nimekusamehe mme wangu.Kwa sahavu..halaf si lipsi zangu ziligusa shavu yake.. Ni shav yangu iligusa shavu yake..
In kenyan pronounciation