makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,972
- 104,393
Mbona vumbi.. Vip mkuu
Mbona vumbi.. Vip mkuu
Inafanya nin huko...Mutu ya Kongo imekimbia tzii, ipo kwa jirani huko nairoberia
Una moyo.. So huyu ndio alikuwa mumeo mtarajiwa.. Ungekufa kabla ya siku zako kwa kweli.. Mwanaume ana nongwa kama mtoto wa mganga..





Pole jiraniWamekata aisee ngoja nifanye mchakato wa kununua tena...daah![]()
Kweli bana, ngekuepo angesema chochoteTatizo hamkuagana
Hifadhi tuInafanya nin huko...
Mukongo hututendei haki kabisa!!Ntakuwa pale chobingo nakusubiri![]()
Kweli kabisaKweli bana, ngekuepo angesema chochote
Ahsante malkia wangu..You are my only hubby!! hizi ni bumping roads tu, i am yours...i'll be loving you for a long time.
Mariah Carey ft. T.I - i'll be lovin u a long time.
Ongeza popcorn dia tuendelee kuenjoy hii movieKweli kabisa. Hii episode ya sasa tamu sana

Anataka kuvuruga huyoMukongo hututendei haki kabisa!!
Kwani kazini si tunaenda wote au! nimemuingiza saa ngapi au umesahau tangu tuoane hatujaachana hata mara moja zaidi ya wewe kwenda kwa jirani tu.Kizabizabina..
Ila kweli mke wangu ulikuwa unamuingiza ndan ya nyumba yangu mie nikiwa kazin!!
Ndiyo maana amekimbia bongoMukongo hututendei haki kabisa!!
Ndugu yangu hiki kiumbe sijui cha wapi.. Mie ntakuja nimkafini huyu nyama huyu..mbona unajimilikisha mpenzi wa mtu?
Hongera sana ankali kwa 96k, yan nimewah kidogo tu kabla yakoAnataka kuvuruga huyo
Hii michezo nayo mweeeeer, sema inapeleka uzi sasa!!
Sometimes inakuwa kama reality show vile!.
