Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
hahaha...HatariiiUNAJIFUNZA NINI HAPA??
Wanandoa walizoea kudanganyana. Siku moja mke alilala nje aliporudi nyumbani mmewe akamuuliza ulilala wapi. Mke akasema alilala kwa rafiki yake wa kike.
Mme akawapigia simu marafiki 10 wa mke wake na wote wakasema hakulala kwao.
Siku iliyofuata mme nae akalala nje, aliporudi nyumbani mke akamuuliza ulilala wapi. Mme akasema nililala kwa rafiki yangu wa kiume.
Mke akawapigia simu marafiki 10 wa mme wake. 8 walikubali kuwa kalala kwao na wawili ndo wakaua kabisa wakasema eti hadi sasa bado yupo hapa tunakunywa break fast.
WANAUME KOKOTE MLIKO AGIZENI BIA NITALIPIA.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
NimemalzaMaliza shule kwanza
HahahaUNAJIFUNZA NINI HAPA??
Wanandoa walizoea kudanganyana. Siku moja mke alilala nje aliporudi nyumbani mmewe akamuuliza ulilala wapi. Mke akasema alilala kwa rafiki yake wa kike.
Mme akawapigia simu marafiki 10 wa mke wake na wote wakasema hakulala kwao.
Siku iliyofuata mme nae akalala nje, aliporudi nyumbani mke akamuuliza ulilala wapi. Mme akasema nililala kwa rafiki yangu wa kiume.
Mke akawapigia simu marafiki 10 wa mme wake. 8 walikubali kuwa kalala kwao na wawili ndo wakaua kabisa wakasema eti hadi sasa bado yupo hapa tunakunywa break fast.
WANAUME KOKOTE MLIKO AGIZENI BIA NITALIPIA.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

PotezeaNimemalza
Ujana tu ht mimi Sekondari nilikuwa Fellaini mdogoWigi sasa![]()
![]()
![]()
![]()
Ila toka utoto hajawahi kuwa na baby faceUjana tu ht mimi Sekondari nilikuwa Fellaini mdogo
![]()
![]()
![]()
...............
Maumbile tuIla toka utoto hajawahi kuwa na baby face
Amen budaaPotezea
. ...........
Sina uhakika nayo.. Na kama kweli man u itabidi watoe zaid ya paun milion 100, diego simeone mjanja sana, kabla ya kwenda kwenye euro alimsinisha mkataba mpya release clause yake ni pauni ml 100.Hii ya habari ya griezmann kutua United ni kweli?
Hawana mahusiano...Huyu na yule aliyekuwa Madrid akanyang'anywa no na Casillas Wana uhusiano?
Hahaa...Acha undezi ht JWTZ kirefu chake hujui watu=wananchi
![]()
![]()
![]()
.............

Kile kibabu kilizoea, ndio michezo yake ile.. Kilikuwa ni jipu..Wana hela....wamekiponza kile kibabu cha FIFA
![]()
![]()
![]()
...........
Hahaa...![]()
![]()
Kwahyo unataka kusema himena himenes ni ndezi..![]()
![]()
![]()
![]()
Hapana kwa kweli napinga kwa nguv zote kuliko za ukuta, shemej yangu hawez kuwa ndezi..![]()
![]()
![]()
![]()

Na akiamua anaweza kufika 40+.Katika umri wa miaka 38 unategemea nini zaidi!!
He is a living legend!!
Nimeamka mpendhi!!!Mr. bado hajaamka![]()
Hii kweli 100%