Makapuku Forum

Hela zote hizo huwa zinakaa kwenye mfuko wa kanzu?

Cc sweetiepie
Unamuita wa nin nawe nae.. Mbona unataka kuniltea nongwa babu.. Mambo ya kibarazan unataka kuyapeleka uwan ndugu yangu.

Mwenzio pesa kama hzo huwa sizipelek popote, ilikuwa ishapangiwa matumizi, nikusubiri siku tu ifike, nikajionea tabu kuiweka halaf nikaitoe. Ndio hapo kati dogo akaziotea.
 
Nlikua najua ye ndo mtunza hela zako
 
Wadachi kwenye ubora wao.
 
Naamin hata F.A hawakutaka arsenal waweke rekod ya 50 games bila ya kufungwa.. Refa sijui alikuwa man u yule nyama yule..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…