Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Kweli aisee niliwaona last matchWako vizur.. Coach akiweza kuwaungnisha vyema.. Ikapatkana chemistry nzuri, watakuwa na timu nzuri aisee..
...........
Kweli aisee niliwaona last matchWako vizur.. Coach akiweza kuwaungnisha vyema.. Ikapatkana chemistry nzuri, watakuwa na timu nzuri aisee..
Hahahah nilimuuzia mzigo analipa Kidogo Kidogo mpaka anazingua!Atazinguaje sasa,
wakat alikopa mwenyewe tena kwa demokrasia.
Ni nyingi sanaNi nyingi sana nyingine nlikua naziruka tu
Atawafaa huyu..
PatachimbikaI wish niwe na nafasi na sehemu yenye net ya kumwaga![]()
Hii mutu iko paris bar hapahapa bongo




yap, itakua ni parii ya kino au magomeni paleDah! Jamaa alikua anakimbiza uzi sana na ile segment yakeDah.. Ndugu yangu, bado tupo kwenye majonzi.. Hata hatuelew tatzo.. Yote kwa yote, tunamtakia kila la kheri.
EverythingWa nini kwa mfano
Umionaeeh!!!![]()
![]()
![]()
![]()
komando
Mbona hidaya nko naye hapa viavia?
labda kaja huko mi nshafika njia panda ya KIANlicheka sana ulivyosema ni usalama... Mwenyewe nlihisi hivyo hivyo labda alikua mzee wa systemNdo hivyo tena, jamaa katuacha puzzled



Am back chief, mwenyewe nliwamis kinyama.. Tulisongeshe sasaPamoja mnoo mkuu.. Tulikumc kichiz hommie
Pole kwa mishughuliko khakhaPoa sana ndo twataka rejea home soon
Haha safari njema papaa, nifikishie salamu zangu kwa hidayaNiko Alusha kwa Hidaya wangu naondoka jioni hii kuelekea Nairobi.
Umionaeeh!!!Briz naona umerithi mikoba ya scz

Kuna komandoo naUmionaeeh!!!