Makapuku Forum

Asante mwenyekiti tukutane kesho..
 
Kwakuwa mimi pia nina uzoefu wa kazi za ndani na hatuna mtoto bado, huyu kwa sasa atusaidie kuuza kwenye lile duka letu la nguo kule Mwenge maana yule sharobaro anazingua au unaonaje?
Mie nilitaka nikupunguzie kazi za ndani sababu nataka nikuongezee kazi ya kusaka mtoto, ndio maana...


Ila hamna tatzo kama unaona hvyo..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…