Thanks sana, namuomba anipe umri wa kiasi...Happy birthday miss Patience.. Mungu akupe umri mrefu wenye baraka na neema tele... Akulinde na mabaya, akuondolee maradhi, akubariki wewe na kizazi chako.
![]()
![]()
Ila kama umri atakaokupa una majanga akuchukue fasta..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Bahili hapwndeziNgoja tusubiri.. Dili za mwisho mwisho..
Tayari upo chamaniWacha na mie niwe mmoja wapo wa makapuku
TrulyHakika...
Utakuwa huru sana aisee..
Ahsante sana Katibu wangu!!Morning family
Magazeti ya Leo yanaletwa kwenu kwa udhamini mnono kabisa wa Mussolin5 a.k.a dictator
Leo Katika Historia:
1957 - Malaysia yapata Uhuru wake toka kwa Uingereza.
Ukuta huu unavunjwa na k,y...

Mzee Wenger huyo..Bahili hapwndezi
![]()
![]()
![]()
............
Ukuta huu unavunjwa na k,y...
Nimekopa mawazo kwa bitoz, si mawazo yangu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()