Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Waingereza nao wametawala wengiLeo Katika Historia:
1957 - Malaysia yapata Uhuru wake toka kwa Uingereza.
Waingereza nao wametawala wengiLeo Katika Historia:
1957 - Malaysia yapata Uhuru wake toka kwa Uingereza.
Mm ni KELakini humu naona tumejaa madume tupu au wanaume ndio makapuku peke yao?
Yap!!!Umiona eeh?
In Szncy voice

Asante mwenyekiti tukutane kesho..Sina la ziada kutoka katika Historia, Kwa udhamini mnono wa Princess Diana.
Tumekamilisha Mwezi wa August, mwezi ambao viongozi wengi wamezaliwa. Tukutane kesho kwenye UKUTA mkiona kimya mjue ndio hivyo tena.
Pia leo ni siku ya mwisho ya dirisha la usajili barani Ulaya " Transfer Deadline Day, hivyo kwa sisi wapenda soka leo tutakuwa bize na hilo.
Byeee!!
Mie nilitaka nikupunguzie kazi za ndani sababu nataka nikuongezee kazi ya kusaka mtoto, ndio maana...Kwakuwa mimi pia nina uzoefu wa kazi za ndani na hatuna mtoto bado, huyu kwa sasa atusaidie kuuza kwenye lile duka letu la nguo kule Mwenge maana yule sharobaro anazingua au unaonaje?
CC: Szncy
Rutashobolwa, jifunze kutofautisha kati ya kitambi na mimba...
Makapuku forum
Replies 93k
Views. 839k
Wakongwe forum
Replies 1k
Views. 93k
Wapi na wapi...

