Makapuku Forum

Makapuku Forum

1997 - Princess Diana anafariki Dunia pamoja na Dodi Al Fayed huko Paris katika ajali ya Gari.

Wengi wanashuku ajali hiyo ilipangwa na MI5 ( Shirika la Ujasusi la Uingereza ). Hiyo ni kutokana na Princess Diana kuwa na mahusiano na mwarabu wa Misri Dodi Al Fayed ambaye alikuwa mtoto wa Mfanyabiashara na mmiliki wa klabu ya soka ya Fulham Fc ya London.

Ikumbukwe Diana alikuwa ni mtalaka wa Prince Charles mtoto wa Malkia Elizabeth wa Uingereza.

Aliacha watoto wawili aliozaa nao na Prince Charles ambao ni Prince Harry na Prince William.

Kifo chake kiligusa wengi sana!!
Habari za kiintelijensia zinasema alikuwa akitegemea kupata mtoto wa Dodi ndio maana Royal family haikuweza kustahimili
 
Sina la ziada kutoka katika Historia, Kwa udhamini mnono wa Princess Diana.

Tumekamilisha Mwezi wa August, mwezi ambao viongozi wengi wamezaliwa. Tukutane kesho kwenye UKUTA mkiona kimya mjue ndio hivyo tena.

Pia leo ni siku ya mwisho ya dirisha la usajili barani Ulaya " Transfer Deadline Day, hivyo kwa sisi wapenda soka leo tutakuwa bize na hilo.

Byeee!!
Asante sana Musso kwa historia
 
Hellooo fellaz, niaje humu ndani? Za masiku? Nimeimiss sana KF... naona uzi unapepea kama kawa, ndo kwanza niko nasoma post ya 88304 sa ivi sijui ntafika sa ngap huko mlipo.
Afu naona wengine wameni-wish RIP hahahahaaaa mi sijafa bana acheni hizo

Welcome back
Miss u so much briz
Sio kwa mkwara huu uliorudi nao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom